Kibao mbele ya jengo kinasema:
Proposed Building of Parrot Hotel...
Client: Hassan Hussein Mshana...
Jengo la katikati linaitwa "Arusha Consultants House" limefunguliwa hivi karibuni. Jengo la rangi ya Pink ni "Arusha Golden Rose" la Mama Maeda.
Mmiliki wa hili jengo la Parrot Hotel according to nyaraka za Arusha Municipal Council, ni jamaa mmoja anayefahamika kwa jina la Hassan Hussein Mshana, maarufu mjini Arusha kwa jina la "Shanna Boyz". Huyu bwana Mshana, anajihusisha na biashara ya wholesale ya mafuta ya kupikia na vitu vya matumizi ya kila siku kama Viberiti, Sukari etc. Pia inasemekana kuwa, ana migodi ya Tanzanite huko Mererani, wilaya ya Simanjiro, mkoa wa Manyara. Ujenzi wa hii hoteli ulianza mwanamo mwaka 2005. Kabla ujenzi haujaanza, kiwanja inapojengwa, kilikuwa kikitumika kuuzia mbao wakati wa mchana na kuegeshea Mabasi ya "Air Msae" wakati wa usiku. Inasemekana kwamba, aliyekuwa akiuzia mbao kwenye hiki kiwanja ndiye aliyekuwa amewakodishia wamiliki wa "Air Msae" sehemu ya kuegesha mabasi yao usiku.Kwa jina anaitwa "Kampa" na kabila lake ni Mhaya kutokea Bukoba. Hata hivyo, kiwanja hakikuwa cha kwake (Kampa) bali yeye pia alikuwa amekodisha kutoka kwa wamiliki halali ambao according to nyaraka za office ya registry of lands, northern zone, iliyopo Moshi, ni shirika moja la umma linalofahamika kwa jina la "NEDCO" (National Estates and Design Company)
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema, huyu bwana Kampa, alimtapeli bwana Hassan Hussein Mshana kwa kumuuzia hicho kiwanja wakati akijua fika yeye siyo mmiliki halali wa Kiwanja. Inasemekana kwamba, bwana Mshana aliingia mkenge baada ya Kampa kumpa title feki ya kiwanja iliyokuwa ikionyesha kuwa Kampa ndiye mmiliki, wakati sio(Wamiliki halali ni NEDCO).Baada ya Mshana kununua kiwanja kutoka kwa Kampa, alianza mara moja ujenzi wa Hoteli yake ya "Parrot". NEDCO wenye offiici zao Mkoa wa Dar es Salaam, ndipo wakapata habari kwamba kiwanja chao kimevamiwa na kuna ujenzi kabambe wa hoteli unaendelea.NEDCO walijaribu kumtafuta bwana Kampa wamuulize nini kinaendelea bila mafanikio. Wliposhindwa kumpata Kampa, NEDCO walikimbilia mahakamani na kufanikiwa kupata injunction ya kumsimamisha bwana Mshana asiendelee na ujenzi.Pia walimfungulia Mshana shitaka la "Tresspassing" on their property.Mshana alipokuwa served na injunction ndipo akashtukia kuwa alikuwa kaingizwa mjini na Kampa. Mshana aka retain legal counsel, legal counsel wakamshauri aombe "out of court settlement" na NEDCO.Inasamekana hii settlement ili invlove NEDCO kumuuzia Mshana kiwanja hicho hicho for an "undisclosed" sum of money.Suggesting that Mshana paid for the same plot twice!!
Mpaka leo hii haifahamiki Kampa yupo wapi. Kuna an "outstanding" warrant for his arrest at the Arusha Central Police Station, to face charges of Fraud & Forgery.Anyways, baada ya settlement na NEDCO, Mshana thought his problems were over, kumbe infact they had just began. Manispaa ya Arusha ambao ndio wahusika wa kutoa vibali vya ujenzi, wakamsimamisha asiendelee na ujenzi kwa kuwa ailkuwa akijenga bila "building permit" Habari zisizothibitishwa zinasema kuwa, manispaaa ya Arusha wakati huo ikiwa chini ya Mkurugenzi (Noah Mwaikuka) pamoja na mwanasheria wa manispa "Solicitor general" (Anderson Msumba) pamoja na Engineer (S. Ngagani) walipata amri kutoka the highest levels of government, wampe mara moja kibali cha ujenzi bwana Mshana. Bwana Mshana hatimaye alipata kibali cha ujenzi ndani ya wiki moja(bila kupigwa fine yoyote) akaendelea na ujenzi wake.
.......Story continues later, where I will talk about the connection between Hassan Hussein Mshana and former Permanent secretary - Paymaster General, Ministry of Finance, Tanzania (Gray.S. Mgonja). I will also talk about how Initially, The Contractors Registration Board of Tanzania (CRB) and later the Engineers Registration Board (ERB) of Tanzania tried to stop the construction of this "Parrot Hotel" bila mafanikio, due to powerful forces within government always intervening on behalf of Mshana........ stay tuned...
Proposed Building of Parrot Hotel...
Client: Hassan Hussein Mshana...
Jengo la katikati linaitwa "Arusha Consultants House" limefunguliwa hivi karibuni. Jengo la rangi ya Pink ni "Arusha Golden Rose" la Mama Maeda.
Mmiliki wa hili jengo la Parrot Hotel according to nyaraka za Arusha Municipal Council, ni jamaa mmoja anayefahamika kwa jina la Hassan Hussein Mshana, maarufu mjini Arusha kwa jina la "Shanna Boyz". Huyu bwana Mshana, anajihusisha na biashara ya wholesale ya mafuta ya kupikia na vitu vya matumizi ya kila siku kama Viberiti, Sukari etc. Pia inasemekana kuwa, ana migodi ya Tanzanite huko Mererani, wilaya ya Simanjiro, mkoa wa Manyara. Ujenzi wa hii hoteli ulianza mwanamo mwaka 2005. Kabla ujenzi haujaanza, kiwanja inapojengwa, kilikuwa kikitumika kuuzia mbao wakati wa mchana na kuegeshea Mabasi ya "Air Msae" wakati wa usiku. Inasemekana kwamba, aliyekuwa akiuzia mbao kwenye hiki kiwanja ndiye aliyekuwa amewakodishia wamiliki wa "Air Msae" sehemu ya kuegesha mabasi yao usiku.Kwa jina anaitwa "Kampa" na kabila lake ni Mhaya kutokea Bukoba. Hata hivyo, kiwanja hakikuwa cha kwake (Kampa) bali yeye pia alikuwa amekodisha kutoka kwa wamiliki halali ambao according to nyaraka za office ya registry of lands, northern zone, iliyopo Moshi, ni shirika moja la umma linalofahamika kwa jina la "NEDCO" (National Estates and Design Company)
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema, huyu bwana Kampa, alimtapeli bwana Hassan Hussein Mshana kwa kumuuzia hicho kiwanja wakati akijua fika yeye siyo mmiliki halali wa Kiwanja. Inasemekana kwamba, bwana Mshana aliingia mkenge baada ya Kampa kumpa title feki ya kiwanja iliyokuwa ikionyesha kuwa Kampa ndiye mmiliki, wakati sio(Wamiliki halali ni NEDCO).Baada ya Mshana kununua kiwanja kutoka kwa Kampa, alianza mara moja ujenzi wa Hoteli yake ya "Parrot". NEDCO wenye offiici zao Mkoa wa Dar es Salaam, ndipo wakapata habari kwamba kiwanja chao kimevamiwa na kuna ujenzi kabambe wa hoteli unaendelea.NEDCO walijaribu kumtafuta bwana Kampa wamuulize nini kinaendelea bila mafanikio. Wliposhindwa kumpata Kampa, NEDCO walikimbilia mahakamani na kufanikiwa kupata injunction ya kumsimamisha bwana Mshana asiendelee na ujenzi.Pia walimfungulia Mshana shitaka la "Tresspassing" on their property.Mshana alipokuwa served na injunction ndipo akashtukia kuwa alikuwa kaingizwa mjini na Kampa. Mshana aka retain legal counsel, legal counsel wakamshauri aombe "out of court settlement" na NEDCO.Inasamekana hii settlement ili invlove NEDCO kumuuzia Mshana kiwanja hicho hicho for an "undisclosed" sum of money.Suggesting that Mshana paid for the same plot twice!!
Mpaka leo hii haifahamiki Kampa yupo wapi. Kuna an "outstanding" warrant for his arrest at the Arusha Central Police Station, to face charges of Fraud & Forgery.Anyways, baada ya settlement na NEDCO, Mshana thought his problems were over, kumbe infact they had just began. Manispaa ya Arusha ambao ndio wahusika wa kutoa vibali vya ujenzi, wakamsimamisha asiendelee na ujenzi kwa kuwa ailkuwa akijenga bila "building permit" Habari zisizothibitishwa zinasema kuwa, manispaaa ya Arusha wakati huo ikiwa chini ya Mkurugenzi (Noah Mwaikuka) pamoja na mwanasheria wa manispa "Solicitor general" (Anderson Msumba) pamoja na Engineer (S. Ngagani) walipata amri kutoka the highest levels of government, wampe mara moja kibali cha ujenzi bwana Mshana. Bwana Mshana hatimaye alipata kibali cha ujenzi ndani ya wiki moja(bila kupigwa fine yoyote) akaendelea na ujenzi wake.
.......Story continues later, where I will talk about the connection between Hassan Hussein Mshana and former Permanent secretary - Paymaster General, Ministry of Finance, Tanzania (Gray.S. Mgonja). I will also talk about how Initially, The Contractors Registration Board of Tanzania (CRB) and later the Engineers Registration Board (ERB) of Tanzania tried to stop the construction of this "Parrot Hotel" bila mafanikio, due to powerful forces within government always intervening on behalf of Mshana........ stay tuned...
Last edited: