Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Afadhali umemwambia huyo bimkubwa
With due respect, I am sorry this is too low for you madam! Seriously, kwa sababu wamerudishiwa fedha zao hawana sababu ya kulalamikia kubaguliwa katika nchi yao! Si huu ubaguzi ndio uliofanya wazee wetu wakatae ukoloni? Haya mambo ndiyo yanaivuruga ccm. Kuna watu wameshindwa kuvumilia.