mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Wandugu anyejua Hotel/Lodge au Guest house iliyopo na karibu na Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ambayo ni salama ,karibu na usafiri wa usiku unapatikana nina mgeni wangu anaondoka mida ya saa 10 alfajiri na mwenyeji wake nakaa mbali na Uwanja wa Ndege