Hotel za kitalii katika mbuga zafungwa hadi mwezi June, wafanyakazi watakiwa kurudi makwao

Viongozi wa Africa wana cha kujifunza kwenye hili janga la Corona, Wananchi wa Africa tunachakujifunza pia kwenye hili janga la Corona..

Watu kwa kiasi kikubwa kuwa na maisha bora na kuishi modern life ni jambo la msingi sana na kipaumbele namba moja..Siasa za kijinga, uongo uongo na unafiki ni vitu vinavyotakiwa kuachwa mara moja na maisha ya watu yaboreshwe..
Vitaboreshwaje wakati hata rambirambi tu wanaiba tena bila aibu
 
The Worlds' Greatest Economic Depression nears...

Tujiandae... Uliye na shamba umelima mahindi..maharage tunza. Chondechonde.
 
Sasa ni wazi waafrika tumejua ni hasara kubwa kiasi gani tunapata kwa kuwacheka wazungu kuwa wanakufa kama kuku na tutajua kuwa zile kauli "ugonjwa wao huo hautuhusu". Tunasahau kuwa aina ya maisha yao na ubunifu wao na pesa zao ndio vinatupa maisha na sisi huku africa.
Leo karibu vyanzo vyetu vyote vya mapato vinakwama. Wao wanapata fidia kubwa kutoka katika serikali zao imara ili kupunguza ugumu wa maisha. Sisi uwezo huo hatuna maana tu masikini wa kipato na serikali yetu haina akiba ya kututosha wote.

Ni MUNGU tu atatusitiri katika hali hii maana vinginevyo mwisho wa janga hili sisi ndio tutakuwa hoi kuliko wao.
 
Viongozi wa Africa wana cha kujifunza kwenye hili janga la Corona, Wananchi wa Africa tunachakujifunza pia kwenye hili janga la Corona..

Watu kwa kiasi kikubwa kuwa na maisha bora na kuishi modern life ni jambo la msingi sana na kipaumbele namba moja..Siasa za kijinga, uongo uongo na unafiki ni vitu vinavyotakiwa kuachwa mara moja na maisha ya watu yaboreshwe..
Na dhani njia pekee ya kuondokana na umasikini sio serikali kuitolea lawama .
Ni mimi, ww na waafrika kwa pamoja kuacha uvivu kufanya kazi tena sana. Tofauti na hvyo tutamtafta sana mchawi kumbe sisi wenyewe ni wachawi.
Tushawaona wanasiasa kma Miungu itakayotuokoa na umasikini, inatuendesha na kutuchezesha akili tumekuwa watumwa wao.
Maisha yangu, kazi yangu, mafanikio yangu.
 
Back
Top Bottom