Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
heri ya mwaka mpya
ghorofa ya nne?? Mtu aliye chini anawaona walio kitandani ghorofa ya nne?? Heri! Tanzania tumeanza kuwa warefu....!
Inaoneka hiyo kwata ilichezwa karibu na Dirisha, si lazima kwata ifanyike kitandani inategemea na style yenyewe!Ghorofa ya NNE?? Mtu aliye chini anawaona walio kitandani ghorofa ya NNE?? HERI! Tanzania tumeanza kuwa warefu....!
Mambo hayo ni ya kishenzi na mwelezaji wake lazima awe hivyo pia
Ghorofa ya NNE?? Mtu aliye chini anawaona walio kitandani ghorofa ya NNE?? HERI! Tanzania tumeanza kuwa warefu....!
Mambo hayo ni ya kishenzi na mwelezaji wake lazima awe hivyo pia