Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Jana jioni mida ya saa moja na nusu hivi palikuwa balaa na foleni kubwa mtaa ule wa tip top baada ya wananchi na wapita kujaa barabarani na kushangilia kile kilichokuwa kinatokea katika moja ya chumba cha hotel ghorofa kama ya nne hivi.<br />
<br />
Jamaa alikuwa akiibanjua amri ya sita na kuamini kabisa yuko faragha kumbe alikuwa yuko nje na akitoa burudani kwa odience ya kutosha na kushangiliwa ile mbaya, yaani ilikuwa drive in flani ya enzi zile kwa wenyeji wa Dar. Binafsi nilijisikia vibaya kwani watazamaji ilikuwa na watoto pia halafu kwetu uswazi.<br />
<br />
Hala hala wateja wa guest madirisha ya vioo na mko ghorofani, chabo za namna hii hazinogi sana. Jamaa alistuliwa baadae sana na kufunga pazia lakini aliiacha gumzo kubwa, mie mambo ya kikubwa najua iko na forum yake sasa hii ya manzese sijui ndio jana tu au kuna ambaye alishaona.<br />
<br />
Inawezekana kabisa jamaa aliingia jioni na kuanza uchakachuaji wake lakini vioo hivi mchana wa nje haoni ndani balaa usiku ukiwasha taa.
<br />
Jamaa alikuwa akiibanjua amri ya sita na kuamini kabisa yuko faragha kumbe alikuwa yuko nje na akitoa burudani kwa odience ya kutosha na kushangiliwa ile mbaya, yaani ilikuwa drive in flani ya enzi zile kwa wenyeji wa Dar. Binafsi nilijisikia vibaya kwani watazamaji ilikuwa na watoto pia halafu kwetu uswazi.<br />
<br />
Hala hala wateja wa guest madirisha ya vioo na mko ghorofani, chabo za namna hii hazinogi sana. Jamaa alistuliwa baadae sana na kufunga pazia lakini aliiacha gumzo kubwa, mie mambo ya kikubwa najua iko na forum yake sasa hii ya manzese sijui ndio jana tu au kuna ambaye alishaona.<br />
<br />
Inawezekana kabisa jamaa aliingia jioni na kuanza uchakachuaji wake lakini vioo hivi mchana wa nje haoni ndani balaa usiku ukiwasha taa.