Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 700
Waliojenga jengo ni kambuni ambayo inaitwa Taruss Investment Limited ( imesajiliwa Tanzania lakini wamiliki wake ni bwana moja ambaye kama sijakosea anaasili ya Ugiriki) na hujy jamaa alipata mkopo alipojenga hilo jengo na kwa kipindi kile Dar kulikuwa haakuna hoteli nzuri ya kimataifa nchi ilikosa opportunities nyingi saana. So mwenye jengo hana hata kidogo utaalamu wa kuendesha hotel alingia mkataba na Sheraton wao wakaja kama MANAGEMENT COMPANY kuiendesha baada ya Sheraton walitofautiana na mwenye mali ( Taruss Investment Limited) ikabidi awafukuze then aka hire Royal palm ambayo ni MANAGEMENT company wakaanza kuiendesha ikumbukwe walipotofautiana na mwendeshaji wa kwanza na alipondoka ilibidi aondoke na jina lake yaani SHERATON, hawa wasouth africa walipokuja wao jina lao ni royal palm moja kwa moja jina likabadilika, baada ya muda Taruss Investment Limited waliuza majority share yaani (jengo) kwa kambuni moja ya mtoto moja wa falme za kiarabu ambaye na yeye ana mahoteli nchi mablimbali lakini mahoteli yake yanaendeshwa na SWISS hotel managment company ( Movenpick) ndo ikabidi waje waanze kuindesha ikabidi ibadilishwe jina kuwa moven pick.
Biashara a hoteli inavyoendesha ni tofauti kidogo kwa mlio DSM naamini mnajua Holiday INN walikuwa wanendesha ipo karibu ocean road hospital lakini walitofautiana na wenye mali wakaondoka wakaingia mkataba na mwenye jengo mwingine sasa wanaendesha hotel iliopo karibu na posta mpya, ile ya zamani waliokuwa wanaimiliki wanaindesha kwa jina lo Southern sun, haya mambo katika hii biashara yapo
swala la kusamehewa kodi pale mwanzoni TZ ilikuwa na sheria ambazo zilikuwa zinawanufaisha wawekezaji saana naamini ile sheria wameshaibadilisha haitoi tena manufaa kwa wawekezaji kama ile miaka hawa Taruss Investment Limited walipo jenga hoteli yao na kupata misamaha ya kodi
Ikumbukwe hata the real owner of kilimanjaro hoteli sio yeye anaye iendesha hiyo hoteli, mwendeshaji ni Kempinski ambayo wakitofautiana na mwenye mali anaweza wafukuza na kuajiri management company nyingine.
cha msingi ni serekali kushawishi hizi management company kujenga hoteli zao wenyewe hapa nchini kama SERENA wanavyofanya hapo ndo tutaweza kufaidika vizuri
cha msingi serekali inatakiwa iwe makini kwakushawishi
Biashara a hoteli inavyoendesha ni tofauti kidogo kwa mlio DSM naamini mnajua Holiday INN walikuwa wanendesha ipo karibu ocean road hospital lakini walitofautiana na wenye mali wakaondoka wakaingia mkataba na mwenye jengo mwingine sasa wanaendesha hotel iliopo karibu na posta mpya, ile ya zamani waliokuwa wanaimiliki wanaindesha kwa jina lo Southern sun, haya mambo katika hii biashara yapo
swala la kusamehewa kodi pale mwanzoni TZ ilikuwa na sheria ambazo zilikuwa zinawanufaisha wawekezaji saana naamini ile sheria wameshaibadilisha haitoi tena manufaa kwa wawekezaji kama ile miaka hawa Taruss Investment Limited walipo jenga hoteli yao na kupata misamaha ya kodi
Ikumbukwe hata the real owner of kilimanjaro hoteli sio yeye anaye iendesha hiyo hoteli, mwendeshaji ni Kempinski ambayo wakitofautiana na mwenye mali anaweza wafukuza na kuajiri management company nyingine.
cha msingi ni serekali kushawishi hizi management company kujenga hoteli zao wenyewe hapa nchini kama SERENA wanavyofanya hapo ndo tutaweza kufaidika vizuri
cha msingi serekali inatakiwa iwe makini kwakushawishi