Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaha ....hilo neno huwa linanipaga hasira sana, hata kama sina pesa nakwenda kukopa
Haahaha ....hilo neno huwa linanipaga hasira sana, hata kama sina pesa nakwenda kukopa
ndo nataka niliskie kwa vitendo
Hahaha...kama kweli unataka vitendo, tupia namba yako kwa pm.
Utaona nitakavyokujaza mafweza....ww vp! Mwanamme Fweza bana, sio maneno maneno tu,na kutaka kula vya bure
au eti upendwe na mwanamke bila ya kutoa fweza(Msione vyaelea Jua vimeundwa)...nawashangaa wana Jf wanavyodanganyana na The Boss ndio anawachunza, kwa kweli wamepitwa na wakati, sijui wanaishi dunia gan??? au nimekosea Preta (aka Malkia wa Jumba la Mbezi) ??
Hahaha...kama kweli unataka vitendo, tupia namba yako kwa pm.
Utaona nitakavyokujaza mafweza....ww vp! Mwanamme Fweza bana, sio maneno maneno tu,na kutaka kula vya bure
au eti upendwe na mwanamke bila ya kutoa fweza(Msione vyaelea Jua vimeundwa)...nawashangaa wana Jf wanavyodanganyana na The Boss ndio anawachunza, kwa kweli wamepitwa na wakati, sijui wanaishi dunia gan??? au nimekosea Preta (aka Malkia wa Jumba la Mbezi) ??