BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,771
- 23,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmmh
Umeoana enh... tena afadhali umenikumbusha, ni Irene Uwoya manake kwenye post yangu nililazimika kuandika pacha wa Wolper! Hata huyo JOkate, kipindi alipokuwa na Diamond, kila siku humu jamvini tulikuwa tunamjadili lakini siku hisi, jhiiiii....! Kuna Hamisa... wasio wa wapenzi wa masuala ya mitindo walikuwa hawamfahamu kabisa Hamisa lakini baada ya kuhusishwa na Diamond, ndipo wengi wakamfahamu humu jamvini!! Kuna mwingine... hapa namzungumzia Naima Shah, yule mtoto wa Kiburushi kwenye nyimbo ya Mbagala... ni wachache sana tuliokuwa tunamfahamu Naima kabla ya ile nyimbo lakini leo hii majority wanamfahamu Naima!!!Nshasema huyo bila domo hana jipya domo ndio kamrudisha wa2 washamsahau,mamis 2006 wote hovyo kuanzia yeye jokate,aunt,uwoya full kujiuza tu
Umeoana enh... tena afadhali umenikumbusha, ni Irene Uwoya manake kwenye post yangu nililazimika kuandika pacha wa Wolper! Hata huyo JOkate, kipindi alipokuwa na Diamond, kila siku humu jamvini tulikuwa tunamjadili lakini siku hisi, jhiiiii....! Kuna Hamisa... wasio wa wapenzi wa masuala ya mitindo walikuwa hawamfahamu kabisa Hamisa lakini baada ya kuhusishwa na Diamond, ndipo wengi wakamfahamu humu jamvini!! Kuna mwingine... hapa namzungumzia Naima Shah, yule mtoto wa Kiburushi kwenye nyimbo ya Mbagala... ni wachache sana tuliokuwa tunamfahamu Naima kabla ya ile nyimbo lakini leo hii majority wanamfahamu Naima!!!
Watu wanasukumwa na chuki binafsi lakini ukweli ni kwamba Diamond ndie anatoa kiki kwa watu kuliko yeye kupata kiki kupitia kwao!
Huyu wema ana damu y bundi na nao wacheza vigodoro wke wote hawana akili,mara domo anamtumia wema hivi wema anamsaidia domo kuandika nyimbo plus hela y kurekodi,
Domo amestuka ndio mana hata nyumba hamalizi mana wacheza vigodoro wote watahamia hpo,wema c yf material huyu ana nyota ya kutoa mzigo 2
Eti ye akiwa na pesa marafiki kibaoo khaaa/? Daimon mjanjaa na hiyo harusi ifanyike haraka basiii
Domo haowi ni kuwapiga p tu umri wke bado wacha ale ujana,bibie nae ni 22yr bdo mdogo chezea mtoto kakulia sinza
Jamani toka kipindi kile mpaka leo Wema ana miaka 22 khaaaa heeeeehreee
Jamani toka kipindi kile mpaka leo Wema ana miaka 22 khaaaa heeeeehreee
Hahahahahaha jf raha tupu!
Ndio watoto w sinza hao full stress halafu akili za wema ni sembe full
Ikiwa kwelii ntabadili jinsia niwe dume kabisaa
Kuanzia leo na mie nakomea miaka niliyonayo aaaaaaaaaa
Uwiiiii,pia mimi shoga angu...sijui najizeesha nini kumbe wema mdogo wangu!!!!