Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,442
- 67,955
Tusubiri series mpya ya matusi
Unless kama ni kutaka kumake headlines tu
Badala wafurahi.....
Tusubiri kucheka sieee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri series mpya ya matusi
Unless kama ni kutaka kumake headlines tu
Badala wafurahi.....
Mchukue Wema si unaona katemwaaaa hhhhaaaaa
Team wema wameitana kikao cha dharula
Wapi wewe mimi nataka gari mpya c mbovu,uliona wapi gari mbovu inavutwa na gari mbovu nataka gari mupya
Menina mwenyewe anatumika tu
Haswaaaaa cheap publicity nyingine
Ila hawa wanawake wanaokubali kutumika kama toilet paper nao viazi...hawajitambui
HahahahahahaTeam wema wameitana kikao cha dharula
Wanawake aina ya Wema hawana utimamu kabisa... nilisha Sema toka kitambo Wema hayuko Sawa kichwani!
Wema angejitambua angekuwa mbali sana.....
Ika kwa kuwa anapenda sifa zA kijinga pole yake
Wema angejitambua angekuwa mbali sana.....
Ika kwa kuwa anapenda sifa zA kijinga pole yake
Wema kuingia kwenye mahusiano ya mtu kama Diamond kumezidi kumuongezea tatizo la kichwa!
Wema ana hitaji kuwa na mwanaume ambaye hategemei kick au attentions kuingiza kipato!
Wema ana hitaji mwanaume mkali na mwenye msimamo atakaye mwambia nisikuona unafanya hili na hili ,mtu atakaye mshauri kwa kumwambia live kuwa marafiki wa aina hii siwapendi na nisingependa kukuona nao na nina kupa wiki mbili utafute biashara ya kufanya!
Wema haitaji kuwa na mtu kama Diamond ambaye yeye ana mchukulia Wema kama source of income!
Diamond ana mchango mkubwa sana kwa Wema kuwa na matatizo ya kichwa! Sasa mtu ana kwenda kumpa ushauri mwenzie insta au fb badala ya kumpa wakiwa pamoja!
Diamond na Wema si wazima!
Yaani Diamond atafute kiki kupitia Meninah ambae mwisho wake kufahamika ni Kimara Stop Over? Jarida la Baab Kubwa hizi ndo stori zake za kishigingo shigongo, sema watu hawajalishtukia kwavile halijasambaa kama ma-Shigongo mengine!Huyo daimond ni mtafuta kiki si ajabu hakuna lolote
Hhhaaaaaaa apo hata mi sikushauri na hivi ndomo ana ub.oo kama mtwangio utakuta bwawa haki yamama acha tu
kwikwikwikwii akikutia unaomba maji ya kunywa,lakini best, hizi habari za menina na ndomo za ukwee!?
Mwenzangu hata sijuii kama ni kwelii
mmhh! Acha mda uongee tutajua tu.
Anajishaua
Yeye ndio wakwanza kupenda au atakuwa wa mwisho????????
Mwanaume gani anayesema madhaifu yako kwenye media na yeye yupo tu
Na ndomo mwenyewe anawatumia tu kutafuta umaarufu...utasikia wimbo mpya atamalizia na "kikao cha harusi na menina" bado tu wema kang'ang'ana
Team wema wameitana kikao cha dharula