Ile ijumaa liyopita ilikuwa kiboko, nilicheka mpaka nikakinai, ngoja ijumaa ifike tena nimwage ma ubuyu, maana sijawah kucheka kama ile siku, yani iikuwa shidaa
Ndio ni nusu dume
baba ubaya anaona katemwa na wema hakuna skendo tena anataka aanze mchafua binti wa watu.kimtu chenyewe hata hakina swaga tabu tu.safari hii atasubiri sana
Hata mi hakuna siku nilicheka kama siku hiyoo aisee
Team wema mbona haiji tuchambane aaj, mi nshakasirika
Mie sometimes huwa nahisi wema hana akili maana kafanyiwa mambo mabaya ila lipo tu linang'ang'ana.Mwanaume anatoka na rafiki zako bado hakupi chochote cha maana then unaendelea kukomaa?
Hhhhaaaaaaa usivyo mvumilivu si utakula ban muda si.mrefu
Team wema mbona haiji tuchambane aaj, mi nshakasirika
Namtafuta mod kwa udi na uvumba nimpe rushwa kidogo ili asinipe ban maana kuna watu bado nina hasira nao vibaya
Hivi mtu unaolewa na Diamond kabisa unasema umepata mme,Meninah kimbia haraka utajuta,ila kwa vile ni waaislam mwisho wanne,Diamond lazima aoe mke zaidi ya mmoja no matter anamua nani
Hizi ni dalili za Diamond kutoa wimbo mpya!
Bila shaka siku si nyingi ata tangaza kutoa singo mpya!
Hii ni aina ya promotion anayo pendelea!
Kuhusu kuoa ninge mshauri hasioe kwanza mpaka atakapo kuwa na akili timamu za kuoa!
Team wema mbona haiji tuchambane aaj, mi nshakasirika
Team wema wameitana kikao cha dharula
Hapo ndio ujue wema kaachwa kwelii hhhhhaa ila hawa hawanaga kazi haki ya Mamaaaa
Team wema wameitana kikao cha dharula
Lucy anakwambia anampenda mume wake kiama
Halafu we binamu huyo hamisa nampataje mana huyo mtoto kajaliwa nataka uza shamba l ukoo nichukue goma