- Thread starter
- #21
Asante mrInstall App ya AirBnB kwenye simu yako janja ya kiganjani au tafutia hapa:
Vacation Rentals, Homes, Experiences & Places - Airbnb
Asante mrInstall App ya AirBnB kwenye simu yako janja ya kiganjani au tafutia hapa:
Vacation Rentals, Homes, Experiences & Places - Airbnb
Mkuu ulikuwa unasoma nairobi university ama?Sorry mimi pia sio mkenya nilikaa huko mwaka jana baada ya kuona hostel za Nairobi university garama halafu tuvyumba tudogo. Niliamua kwenda mtaani .Fika hapo maeneo ya Ghana Avenue ulizia magari ya kwenda Eastleigh kumetulia huko .Kuna hospital inaitwa kimweni maternity hospital maeneo hayo utapata sehemu nzuri kabisa
MkuuHabari zenu wana JF, poleni na majukumu,
Naombeni kwa yeyote anayefahamu hosteli iliyoko jirani na Nairobi hospital aniambie, nauguza mtoto sasa gharama za hoteli ziko juu na hostel.
Ninayoifahamu hapa ni Flora hostel ya masister na yenyewe naona gharama ziko juu sababu wanacharge ksh 3300 per day.
Msaada wenu wa haraka wakuu unahitajika.
MkuuNikipata ya ksh 1000 au ksh 1500 si mbaya
MkuuHabari zenu wana JF, poleni na majukumu,
Naombeni kwa yeyote anayefahamu hosteli iliyoko jirani na Nairobi hospital aniambie, nauguza mtoto sasa gharama za hoteli ziko juu na hostel.
Ninayoifahamu hapa ni Flora hostel ya masister na yenyewe naona gharama ziko juu sababu wanacharge ksh 3300 per day.
Msaada wenu wa haraka wakuu unahitajika.