Habari zenu wana JF, poleni na majukumu,
Naombeni kwa yeyote anayefahamu hosteli iliyoko jirani na Nairobi hospital aniambie, nauguza mtoto sasa gharama za hoteli ziko juu na hostel.
Ninayoifahamu hapa ni Flora hostel ya masister na yenyewe naona gharama ziko juu sababu wanacharge ksh 3300 per day.
Msaada wenu wa haraka wakuu unahitajika.
Naombeni kwa yeyote anayefahamu hosteli iliyoko jirani na Nairobi hospital aniambie, nauguza mtoto sasa gharama za hoteli ziko juu na hostel.
Ninayoifahamu hapa ni Flora hostel ya masister na yenyewe naona gharama ziko juu sababu wanacharge ksh 3300 per day.
Msaada wenu wa haraka wakuu unahitajika.