Hostel Magomeni Kagera DSM 50000 kwa mwezi tu.

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
755
468
Habari
Kuna hostel Magomeni Kagera, Friends corner Dar es salaam Morogoro road kituo cha mwendo kasi kagera kwa gharama ya sh 50000 kwa mwezi, tunapokea kuanzia pesa ya miezi 6 na mwaka tu.
Hostel ina vyumba jumla ya 26 kuna mgahawa ndani yake ,parking na sehemu ya kujisomea pia kuna television kwa ajili ya wanafunzi wote.
kila chumba kina choo chake.
kwa mawasiliano zaidi 0712 212 220 Mr Daud
 

Attachments

  • 20170612_200709.jpg
    20170612_200709.jpg
    108.6 KB · Views: 75
  • 20170612_200557.jpg
    20170612_200557.jpg
    49.1 KB · Views: 74
  • 20170612_200441.jpg
    20170612_200441.jpg
    66.7 KB · Views: 76
  • 20170612_200110.jpg
    20170612_200110.jpg
    132.6 KB · Views: 78
  • 20170612_200747.jpg
    20170612_200747.jpg
    99.1 KB · Views: 70
Back
Top Bottom