Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 2,937
- 3,997
Utaratibu ni kusign fomu ya bima baada ya matibabu na sio vinginevyo.Yaani wamefanya kamtaji ukiwa na cash tabu kwenye Bima nao wanapiga juzi nimemaliza kusikilizwa na daktari napewa nisaini zile karatasi zao nawauliza hizi nasaini baada ya kumaliza matibabu na kuchukua dawa iweje nipewe now? tukabishana kidogo nikaona nisaini nafika pharmacy dawa kama tatu hazimo na nimeshazisaini nikawarudia wazitoe wakagoma ili kuepusha shari nikaacha lipite tu since my 1st twin alikuwa ana homa ila kuna baadhi wanaiba huko Bima pia.