Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Nilifika hospitali moja kubwa iliyopo maeneo ya Mikocheni juzi, jumatatu... sikukuu ya pasaka, baada ya kuhisi nina homa kali
Niliingia chumba cha kumwona daktari nimwelezee matatizo yangu baada ya kulipa Tsh10,000 consultation fee na nilikutana na harufi mbaya sana. Daktari huyo mwenye asili ya kiasia, alikuwa anatafuna tumbako ofisini. A line of brownness was dripping down his mouth.
I was sick but I walked out nikaenda hospitali tofauti. Bado ninahisi kichefu chefu! HE IS SUPPOSED TO BE A PROFESSIONAL
Niliingia chumba cha kumwona daktari nimwelezee matatizo yangu baada ya kulipa Tsh10,000 consultation fee na nilikutana na harufi mbaya sana. Daktari huyo mwenye asili ya kiasia, alikuwa anatafuna tumbako ofisini. A line of brownness was dripping down his mouth.
I was sick but I walked out nikaenda hospitali tofauti. Bado ninahisi kichefu chefu! HE IS SUPPOSED TO BE A PROFESSIONAL