yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa lunch...hivi ni lini watanzania tutajali muda? aah Tanzania ingekuwa daladala tungeshuka wengi tukapanda daladala nyingine.!