Hospitali za Tanzania bwana....

yohana charles

Senior Member
Mar 21, 2013
134
10
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa lunch...hivi ni lini watanzania tutajali muda? aah Tanzania ingekuwa daladala tungeshuka wengi tukapanda daladala nyingine.!
 
Mbona suala hili lipo kila mahali na sio mahospitalini tu. Pia walio na watakao kufa kwa kucheleweshwa huduma ni wengi tu.
 
Mkuu pole sana ndio Tanzania iliyojengwa na ccm hiyo.!
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya
 
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa lunch...hivi ni lini watanzania tutajali muda? aah Tanzania ingekuwa daladala tungeshuka wengi tukapanda daladala nyingine.!

Unalalamika hivyo kumbe kwenye uchaguzi uliwapa ccm kura, vumilia hiyo ndio ccm ya tieni! tieni! nambari wani heee...!
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya

unajaribu kusema nini Msalani?
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya
Hata ukipenda kusifu utawasifu kwa lipi mkuu, barabara zetu za mitaa, maji na umeme wa uhakika,huduma bora za jamii, ufisadi uliokidhiri kona zote, bunge la katiba, dharau za wana siasa au kipi. Huduma kama ni mbovu ni mbovu tuu, tatizo hata viongozi, wale ambao tumewapa jukumu la kutekeleza matakwa yetu nao ni walalamishi, wasipolalamikia watendaji - ambao wao wenyewe ndo waliwapa hizo kazi, watalia na wapinzani au chochote kile. Hili la afya linatakiwa liwepo kwenye mjadala wa kitaifa maana ni wengi wanaunamia kwa kukosa hizo huduma bora wanazopata India na South Africa.
 
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa lunch...hivi ni lini watanzania tutajali muda? aah Tanzania ingekuwa daladala tungeshuka wengi tukapanda daladala nyingine.!

Mimi nalia na ubora wa hizo hospitali...Ok tumezowea "wakubwa" na familia zao wakiumwa wanakimbilia nje ya nchi kutibiwa.Majuzi nimepata msiba wa ndugu yangu katika basi la mkoa...kuna uwezekano mkubwa kuwa uhaba wa huduma bora za dharura hospitali ulichangia kuharakisha kifo chake...hapo nikakumbuka barabara hiyo hiyo hutumiwa na "wakubwa" wanapoelekea mjengoni...hivi hawaoni kuwa hata ungekuwa lifted na private jet kwenda South unaweza kupoteza maisha kabla hujafika huko? Na je hawana hata ndugu zao huko vijijini wasiokuwa kwenye list ya kipaumbele cha kwenda kutibiwa nje? Au hawajali? Haya tuendelee na katiba!
 
Mimi nalia na ubora wa hizo hospitali...Ok tumezowea "wakubwa" na familia zao wakiumwa wanakimbilia nje ya nchi kutibiwa.Majuzi nimepata msiba wa ndugu yangu katika basi la mkoa...kuna uwezekano mkubwa kuwa uhaba wa huduma bora za dharura hospitali ulichangia kuharakisha kifo chake...hapo nikakumbuka barabara hiyo hiyo hutumiwa na "wakubwa" wanapoelekea mjengoni...hivi hawaoni kuwa hata ungekuwa lifted na private jet kwenda South unaweza kupoteza maisha kabla hujafika huko? Na je hawana hata ndugu zao huko vijijini wasiokuwa kwenye list ya kipaumbele cha kwenda kutibiwa nje? Au hawajali? Haya tuendelee na katiba!
Mkuu ni wengi saa wanaangamia kwa style hii, hospitali kukosa vifaa, dokta yupo nje au kwenye kikao na akirudi hana muda wa kupitia historia ya mgonjwa wake. Mbali na kuwa na vifaa vya kazi ni bora zaidi kuwapa maslahi mazuri ma-dokta na kuwaondolea zile part time zao, maana wakishakuona wanakupa referral kwenda kwenye clinic zao private, au hospitali za private wanapopiga part time. Mwisho wa siku lazima kuwepo na order ili hata wanaopenda kusomea u-dokta wajue kabisa pale sio money-making-machine, badala yake ni kutoa huduma bora.
 
[QUOTE=Niambieni;>> kwenye msafara wa mamba na kenge wamo..unapowafanyia watu hivyo kumbuka kuna ndugu zako wanafanyiwa pia.!
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya

>>Daima wewe uliyeshiba huwezi kumjua mwenye njaa...Lakini kumbuka hata kama uko juu kuna kushuka pia.!
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya

Nafikiri ni vyema baadhi ya watu kama wewe wakapewa ufahamu wa mambo yafuatayo:

1. Kuna watu wanalipa kodi kwa lazima na wengine wa hiari lakini matumizi ya kodi zao ni kwenye kustarehesha baadhi ya watu huku wengine wakipata shida sana na kuona huduma mbovu.. Hii peke yake ni stress tosha..

2. Kuna maeneo mengi yanakosa huduma za msingi. Kwa mfano ukijaribu kutembea kwenye hospitali za vijijini na hata kwenye miji mikubwa, kama sio misaada ya nchi kama Marekani na wafadhili wengine nakuhakikishia hali ingekuwa balaa zaidi. Imagine, lab machines au equipments, drugs, computers, urekebishwaji wa vituo vya afya, allowances za madaktari na wauguzi kwenye vituo vya afya ili wafanye kazi muda wa ziada, ulipwaji wa mishahara kwa baadhi ya wauguzi au wafanyakazi wa vituo vya afya; vyote hivi unafanywa na donors and kuna watu wengine wanaenda kuvitumia vyote hivi kwenye kampeni na kutaka kusifiwa kama unavyoshauri wewe.. Umeona watu wanavyolala chini kwenye mahospitali huku wabunge wanalilia laki tano kama posho na huku hadi wafanyakazi wa chini serikalini wanatembelea V8..?

3. Barabara mbovu, unapita kwenye miji mikubwa kama Dar na bado kuna mapango kibao barabarani...

4. Huduma mbovu za maji.. Imagine Dar tu watu wanatembea na toroli zenye madumu hadi sehemu za mijini kisa hakuna maji safi na salama..

5. Elimu duni.. Watu mpaka wanaishia kusifia Division 5 na kuona kiwango cha kufeli ni jambo la kawaida, litapita tu...

6. Kuna machache tunaweza kuona matumaini ingawa bado uhakika haujawa mkubwa...

Sasa vyote hivi halafu mtu akose stress..?? Unless wewe ni wale wanaofaidika na system...
 
Nafikiri ni vyema baadhi ya watu kama wewe wakapewa ufahamu wa mambo yafuatayo:

1. Kuna watu wanalipa kodi kwa lazima na wengine wa hiari lakini matumizi ya kodi zao ni kwenye kustarehesha baadhi ya watu huku wengine wakipata shida sana na kuona huduma mbovu.. Hii peke yake ni stress tosha..

2. Kuna maeneo mengi yanakosa huduma za msingi. Kwa mfano ukijaribu kutembea kwenye hospitali za vijijini na hata kwenye miji mikubwa, kama sio misaada ya nchi kama Marekani na wafadhili wengine nakuhakikishia hali ingekuwa balaa zaidi. Imagine, lab machines au equipments, drugs, computers, urekebishwaji wa vituo vya afya, allowances za madaktari na wauguzi kwenye vituo vya afya ili wafanye kazi muda wa ziada, ulipwaji wa mishahara kwa baadhi ya wauguzi au wafanyakazi wa vituo vya afya; vyote hivi unafanywa na donors and kuna watu wengine wanaenda kuvitumia vyote hivi kwenye kampeni na kutaka kusifiwa kama unavyoshauri wewe.. Umeona watu wanavyolala chini kwenye mahospitali huku wabunge wanalilia laki tano kama posho na huku hadi wafanyakazi wa chini serikalini wanatembelea V8..?

3. Barabara mbovu, unapita kwenye miji mikubwa kama Dar na bado kuna mapango kibao barabarani...

4. Huduma mbovu za maji.. Imagine Dar tu watu wanatembea na toroli zenye madumu hadi sehemu za mijini kisa hakuna maji safi na salama..

5. Elimu duni.. Watu mpaka wanaishia kusifia Division 5 na kuona kiwango cha kufeli ni jambo la kawaida, litapita tu...

Sasa vyote hivi halafu mtu akose stress..?? Unless wewe ni wale wanaofaidika na system...
Changamoto zipo nyingi, na hizo hazina budi kuwepo, lakini huwezi kunidanganya kuwa serikali haijafanya chochote kile kizuri kwa wananchi.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ali-ya-kikwete-imefanya-nini-2005-2015-a.html
 
Changamoto zipo nyingi, na hizo hazina budi kuwepo, lakini huwezi kunidanganya kuwa serikali haijafanya chochote kile kizuri kwa wananchi.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ali-ya-kikwete-imefanya-nini-2005-2015-a.html

Serikali kama serikali imefanya machache, ila kuna mengi ambayo hayajatendeka. Sasa hatuwezi kukataza wananchi wasiwe na stress ili hali hawaoni hayo mengi yakifanyiwa kazi.. Wanapoona nchi imekosa kuwa na "priority spending" then hilo ni tatizo.. At least, kweli tungekuwa na matatizo and kile kidogo tulicho nacho kinatumiwa vizuri...

Halafu nafikiri pia, kuna tofauti kubwa kati ya changamoto na matatizo.. Kukosekana kwa madawati na vitabu mashuleni au madawa hospitalini si changamoto kama unakusanya kodi za wananchi, bali ni matatizo katika kuzitumia ipasavyo au kwa kutoweka vipaumbele.
 
MNALALAMIKA WAKATI MNACHAGUA CCM..?mtakiona kila rang wao wakiugua wanaenda india s.afrika kutibiwa.nyie mtajaza
 
SASA Kichwa chako kitaachaje kuwa NYUMBA ya 'STRESS' (Gagazuko na Jakamoyo) Wakati tangu KUZALIWA Kwako mpaka UNAINGIA KABURINI Kazi yako ni KUANGALIA 'MAKOSA na KASORO' TU!! Hushukuru, Husifii, Huridhiki wala Hukubali!! Wewe ni kulaumu na kulalamika tu! - Masoud Kipanya

Kama ww ulivyo choo, hujawahi kosoa hata siku moja.
 
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa lunch...hivi ni lini watanzania tutajali muda? aah Tanzania ingekuwa daladala tungeshuka wengi tukapanda daladala nyingine.!

Kaka hivyo ndivyo zilivyo hospital zetu, wakati mwingine ukiuguliwa unaona bora ungekuwa wewe Daktari. Hospital zetu za wilaya, mikoa, rufaa, zote ni majanga! Ukimpeleka mgonjwa ni kama umempeleka machinjioni. Yaliyowahi tukukuta hatuna hamu nazo. Jiulize kwa nini watu walimiminika sana kwa babu wa Loliondo? Sababu kubwa ni kwamba imani kwa hospitali zetu imepungua sana.
 
Back
Top Bottom