Hospitali za REGENCY na TUMAINI zimulikwe!

namfahamu dada mmoja anaishi ughaibuni baba yake alikwenda agha khan mahututi ct scan ikaonyesha amepata CVA au stroke hiyo ilikuwa siku ya ijumaa wakamwambia aende nyumbani arudi juma tatu ,jumamosi asubuhi akafariki.Nimewashauri ndugu zake wafungue kesi ya wrongful death wanasema kesi haitaweza kumrudisha baba yao may be i am naive na mambo ya bongo its been a while but I don't understand it


Poleni sana.
 
Back
Top Bottom