Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Hali ni mbaya jamani kwenye Hospitali zetu, nakumbuka nikiwa chuoni like 2 yrs ago tulimpoteza mwenzetu ambaye alikuwa na maleria kali wakampiga kwinini bila kushusha homa na kumcheki presha. alikuwa kichwa sana drsni.
.
Wabongo hufa na tai shingoni, kuna dhana kwamba mtu akipelekwa kwenye hosp za kulipia inaonyesha eti yuko juu. Ni sawa tu na ulimbukeni wa dhana ya zuzu fulani kwamba kifo cha kugongwa na gari aina ya mercedizi benz kina hadhi kuliko cha kugongwa na toyota corolla. Tunatakiwa kwa kupitia organisation zinazoshughulika na masuala ya uraia na haki za watu kuibana serikali kutoa maelezo ya kwanini pamoja na kukusanya kodi za watanzania mil 40 inashindwa ku-maintain matibabu ya asilimia moja tu ya hao watu. Na badala yake inategemea mteremko kwenye hosp za mission kana kwamba kuna kodi zinazokusanywa na hazi taasisi za kidini au za kibinafsi.Shame on you ccm government!!