The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 364
- 713
Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imeanzisha rasmi huduma mpya ya kujifungua, huku ndugu au mweza wako akishuhudia namna tukio hilo linavyotea.
Akizungumza na mwananchi ofisini kwake December 10, 2024 Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dk Alfred Mwakalebela amesema huduma hiyo ni mpya katika mkoa huo, hivyo mjamzito atapaswa kwenda na mwenza au ndugu wa karibu wakati yupo katika hatua za uchungu.
“Mtu anayetaka kuja naye, mjamzito ndiyo atachagua kati ya mweza au ndugu yake wa karibu na wataweza kuingia wote katika chumba cha kujifungulia,” amesema Dk Mwakalebela.
Akizungumza na mwananchi ofisini kwake December 10, 2024 Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dk Alfred Mwakalebela amesema huduma hiyo ni mpya katika mkoa huo, hivyo mjamzito atapaswa kwenda na mwenza au ndugu wa karibu wakati yupo katika hatua za uchungu.
“Mtu anayetaka kuja naye, mjamzito ndiyo atachagua kati ya mweza au ndugu yake wa karibu na wataweza kuingia wote katika chumba cha kujifungulia,” amesema Dk Mwakalebela.