Hospitali ya Rufaa Chato ni aibu na fedheha kwa Serikali, ipelekwe Biharamulo na Majengo yawe Chuo cha afya! Chuki dhidi ya Kagera ziishe

hahahaha Kama itafikia Chifu Hangaya kuwasikiliza wajinga kama wewe basi na yeye atakuwa mjinga mjinga kama wewe...... eti kagera ... sasa kagera imedhurumiwa vipi hapo ... mshauri chifu Hangaya muipige mabomu hiyo hospitali hahahahaha
 
Vipi chato international airport isha kuwa makazi ya bundi au?
Hii bajeti iliyojenga Uwanja wa Chato, ilikuwa imetengwa kujenga Uwanja wa Omkajunguti Mkoani Kagera.

 
Hii bajeti iliyojenga Uwanja wa Chato, ilikuwa imetengwa kujenga Uwanja wa Omkajunguti Mkoani Kagera.

Mwacheni Mungu aitwe Mungu
 
Sema tu ili wakati tunajenga hoja tujue kabisa una interest au hauna interest.
Isijekuwa unafanya attack kwa Mwenda zake kwa sababu unahisi hakuikumbuka Kagera kwenu
Umenielewa Vibaya. Nimekuwekea takwimu hapo. Je kwa kutumia kichwa kufikiri bila kutumia Makalio kufikiri, unadhani ni nani alitakiwa kupewa Hospitali ya rufaa kati ya watu laki 3 na watu Milioni 2?
 
Salaam Wakuu,

Jumamosi ya tarehe 11 Sept 2021, nilienda Chato kuangalia Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo iliwekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na aliyekuwa Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita tarehe 11 Januari 2021 haifai kuwa ya rufaa.

Dk Gwajima alidai hospitali hiyo ikikamilika itakuwa nauwezo wa kuhudumia wananchi milioni 14 kutoka Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora, Rukwa, Geita, na wilaya za Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Gwajima alidanganya. Mtu hawezi kutoka Tabora aende Chato badala ya Dodoma. Au atoke Geita, Mwanza Shinyanga aende Chato badala ya Bugando Mwanza.

Ukweli hii Hospitali ya Chato Ni bajeti ya Wati wa Kagera Walinyang'anywa. Kagera ina Wilaya Nyingi, Walitakiwa wawe na Hospitali yao ya Rufaa. Sema Chuki za Awamu ya tano dhidi ya Wanakagera ndo ilisabiaha ijengwe Chato

Kulingana na Sensa ya 2012,Chato ilikuwa na watu Laki tatu(365,127) Wanajengewa Hospitali ya kuhudumia watu Milioni 14. Aibu.

Kagera yenye Mikoa ya Bukoba, Biharamulo, Muleba, Karagwe, Ngara, Kyerwa, na Missenyi, kwa Sensa ya 2012 ilikuwa na watu 2.458 millioni hawana Hospitali ya Rufaa.

Mgawanyo wa Cake ya Taifa haupo sawa. Geita, Shinyanga na Mwanza wana Hospitali yao ya Rufaa Bugando, lakini ile ambayo ingejengwa Kagera, wameijenga chato.

Eti Hospitali ya Rufaa Bugando inapokea Wagonjwa 10 kwa siku. Wakati ukienda Pale Bukoba Government wagonjwa wanalala wawili wawili kitanda kimoja wengine chini.

Kwani kosa la Kagera ni nini?

Kagera Walipata tetemeko Serikali ikasema sio wao walileta tetemeko, hata misaada iliyotolewa na Wasamalia haikupelekwa.

Rais Samia arekebishe hii.
View attachment 1941878View attachment 1941879
Muonekano wa Hospitali ya rufaa Chato

Huu ni Wizi kwa Walipa kodi wa Kagera na Kanda ya Ziwa

Chato ni kwao na rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli mwenda zake ambaye Mgombea urais wa Chadema 2020 alimuita Dikteta Uchwara.

Super woman Samia Suruhi hii imfikie. Naamini ataongea neno ili cake ya taifa kila mtu aifaidi.
Nyinyi wahaya mnajifanyaga machinooo! Shauri yenu hospital ishakamirika! Nyie ni wanakanda ya ziwa wenzetu ujuaji mwingi mbele giza! Hata kuujenga mji wa bukoba umewashinda stendi hamana hata VETA Magufuli ndo kajenga kipindi chake nyamazeni Chato sio mbali!
 
Sasa wewe waitu chato si inaenda kuwa mkoa, kuna shida gani ikawa na hospitali ya rufaa ambayo itahudumia na mkoa wa kagera na mikoa mingine. La muhimu ni ipate vifaa na madaktari bingwa wa kutosha ili iweze kutoa hizo huduma za kibingwa kwa ufanisi, vinginevyo hakuna sababu ya kulia lia hapa kagera tunaonewa maana hiyo hospitali bado ipo kwenye eneo lenu.....
 
Chato hakuna hospitali ya kanda as yet hiyo ni hospitali ya wilaya tu.

Hadhi ya hospitali inatokana na huduma inazotoa sio ukubwa wa majengo.

Sema kulikuwa na mpango wa hiyo hospitali waiongezee majengo na wataalamu wa aina zote baadae ije kuwa ya kanda.

Hilo zoezi la kuifanya hiyo hospitali iwe ya kanda ata Magufuli angekuwa hai kama lisingekamilika ndani ya muda wake; raisi ambae angemfuata provided angepewa elimu sahihi ya kwanini hospitali kubwa zinajengwa kwa misingi ya kuangalia demographic population ya watu wanaotakiwa kuitumia na kuchagua epicentre basi hilo zoezi lingesitishwa.

Kwa ivyo naamini ata mama hiyo hospitali ata iacha na hadhi hiyo hiyo ya hospitali ya wilaya nitashangaa kama ataendelea na mipango ya kuifanya ya kanda.

Halafu Magufuli ukitoa uwanja wa ndege na mbuga ya Burigi hayo ndio aliyopeleka kwao; miradi mingine ilikuwa ni watu wanapeleka kwenye harakati zao za kujipendekeza na yeye anawakalia kimya kisa kwao.
 
Mtoa hoja ni kilaza na mtu mwenye roho mbaya na uwongo..Mbona mtwara mmejengewa hospital kubwa 1sawa na muhimbilii..Mbona Musoma kunahospital ya Kanda inalingana na Bungando..Lakini kagera ina mikoa ya misenye ,,karagwe,,Ngara,Biharamulo etc.Bukoba Mjini kunahospital ya rufaa ya mkoa so hospital ya kanda inweza kuje gwa popote hata.
Tabia za watu wa mjini kupeleka kila kitu kwenye miji mikubwa ndo imepekekea kuwa na rural town migration,,,wakati huohuo kufanya wafanyakazi kukataa kufanya kazi vijijiji kwa kuwa hakuna huduma..So mtoa maada naona na yeye anamawazo ya kizamani ya ovyo ya kuzani kila kitu kizuri kama hospital bora, shule bora,,barabara bora vinatakaiwa viwe makao makuu ya mkoa wakati Watanzania wote wanatakiwa kuapata huduma sawa.


Mtoa hoja ni kila
za
 
Salaam Wakuu,

Jumamosi ya tarehe 11 Sept 2021, nilienda Chato kuangalia Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo iliwekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na aliyekuwa Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita tarehe 11 Januari 2021 haifai kuwa ya rufaa.

Dk Gwajima alidai hospitali hiyo ikikamilika itakuwa nauwezo wa kuhudumia wananchi milioni 14 kutoka Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora, Rukwa, Geita, na wilaya za Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Gwajima alidanganya. Mtu hawezi kutoka Tabora aende Chato badala ya Dodoma. Au atoke Geita, Mwanza Shinyanga aende Chato badala ya Bugando Mwanza.

Ukweli hii Hospitali ya Chato Ni bajeti ya Wati wa Kagera Walinyang'anywa. Kagera ina Wilaya Nyingi, Walitakiwa wawe na Hospitali yao ya Rufaa. Sema Chuki za Awamu ya tano dhidi ya Wanakagera ndo ilisabiaha ijengwe Chato

Kulingana na Sensa ya 2012,Chato ilikuwa na watu Laki tatu(365,127) Wanajengewa Hospitali ya kuhudumia watu Milioni 14. Aibu.

Kagera yenye Mikoa ya Bukoba, Biharamulo, Muleba, Karagwe, Ngara, Kyerwa, na Missenyi, kwa Sensa ya 2012 ilikuwa na watu 2.458 millioni hawana Hospitali ya Rufaa.

Mgawanyo wa Cake ya Taifa haupo sawa. Geita, Shinyanga na Mwanza wana Hospitali yao ya Rufaa Bugando, lakini ile ambayo ingejengwa Kagera, wameijenga chato.

Eti Hospitali ya Rufaa Bugando inapokea Wagonjwa 10 kwa siku. Wakati ukienda Pale Bukoba Government wagonjwa wanalala wawili wawili kitanda kimoja wengine chini.

Kwani kosa la Kagera ni nini?

Kagera Walipata tetemeko Serikali ikasema sio wao walileta tetemeko, hata misaada iliyotolewa na Wasamalia haikupelekwa.

Rais Samia arekebishe hii.
View attachment 1941878View attachment 1941879
Muonekano wa Hospitali ya rufaa Chato

Huu ni Wizi kwa Walipa kodi wa Kagera na Kanda ya Ziwa

Chato ni kwao na rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli mwenda zake ambaye Mgombea urais wa Chadema 2020 alimuita Dikteta Uchwara.

Super woman Samia Suruhi hii imfikie. Naamini ataongea neno ili cake ya taifa kila mtu aifaidi.
Sema Bukoba ijengwe hospital nyingine sio kutaka ya chato iwe chuo hizo ni chuki za wazi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Marais waliotangulia hawakujenga hiyo hospital ya kanda ya Bukoba na uwanja wa Mkajungu?

Hii bajeti iliyojenga Uwanja wa Chato, ilikuwa imetengwa kujenga Uwanja wa Omkajunguti Mkoani Kagera.

 
chato oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee , mbuga ya wanyama chato, veta chato,msitu wa chato, shamba la miti chato, chuo cha ualimu chato, chuo cha utumishi wa umma chato, uwanja wa ndege chato, rada ya chato, mkoa wa chato, chuo kikuu chato, etc etc etc, Mungu ni mwema sana

Tulikuwa na mtu alitufanya sie kama mifugo yake

Alituweka uchi kama Taifa, kumbe hatuna misingi yoyote kuanzia kwenye sheria tulizojiwekea mpaka kwa wasomi na kada yote ya utumishi ilikuwa kama haipo, jamaa anatamba kwa mtaji wa kusema eti ni mtetezi wa wanyonge
 
kama umekereka sana mkuu jenga yako..utibiwe ww na faimilia yako na wale utakao wachagua wewe
 
Tunawasuburia sana kuwaona hao wanaojua kuigawa vyema keki ya taifa

Waijenge Tanzania kwa usawa sgr kila mkoa,fly over kila jiji , international airport kila mkoa,kila wilaya iwe na hospital ya rufaa vyuo vikuu kila kinda.

Pamoja na hayo yote bado kuna watu watalalamika tu kwamba wengine wamependelewa
 
Salaam Wakuu,

Jumamosi ya tarehe 11 Sept 2021, nilienda Chato kuangalia Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo iliwekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na aliyekuwa Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita tarehe 11 Januari 2021 haifai kuwa ya rufaa.

Dk Gwajima alidai hospitali hiyo ikikamilika itakuwa nauwezo wa kuhudumia wananchi milioni 14 kutoka Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora, Rukwa, Geita, na wilaya za Mikoa ya Mwanza na Shinyanga. Gwajima alidanganya. Mtu hawezi kutoka Tabora aende Chato badala ya Dodoma. Au atoke Geita, Mwanza Shinyanga aende Chato badala ya Bugando Mwanza.

Ukweli hii Hospitali ya Chato Ni bajeti ya Wati wa Kagera Walinyang'anywa. Kagera ina Wilaya Nyingi, Walitakiwa wawe na Hospitali yao ya Rufaa. Sema Chuki za Awamu ya tano dhidi ya Wanakagera ndo ilisabiaha ijengwe Chato

Kulingana na Sensa ya 2012,Chato ilikuwa na watu Laki tatu(365,127) Wanajengewa Hospitali ya kuhudumia watu Milioni 14. Aibu.

Kagera yenye Mikoa ya Bukoba, Biharamulo, Muleba, Karagwe, Ngara, Kyerwa, na Missenyi, kwa Sensa ya 2012 ilikuwa na watu 2.458 millioni hawana Hospitali ya Rufaa.

Mgawanyo wa Cake ya Taifa haupo sawa. Geita, Shinyanga na Mwanza wana Hospitali yao ya Rufaa Bugando, lakini ile ambayo ingejengwa Kagera, wameijenga chato.

Eti Hospitali ya Rufaa Bugando inapokea Wagonjwa 10 kwa siku. Wakati ukienda Pale Bukoba Government wagonjwa wanalala wawili wawili kitanda kimoja wengine chini.

Kwani kosa la Kagera ni nini?

Kagera Walipata tetemeko Serikali ikasema sio wao walileta tetemeko, hata misaada iliyotolewa na Wasamalia haikupelekwa.

Rais Samia arekebishe hii.
View attachment 1941878View attachment 1941879
Muonekano wa Hospitali ya rufaa Chato

Huu ni Wizi kwa Walipa kodi wa Kagera na Kanda ya Ziwa

Chato ni kwao na rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli mwenda zake ambaye Mgombea urais wa Chadema 2020 alimuita Dikteta Uchwara.

Super woman Samia Suruhi hii imfikie. Naamini ataongea neno ili cake ya taifa kila mtu aifaidi.
Mkuu kuna watu wako kimya na maumivu yao

Kama chato iko ndani ya Tanzania basi inapaswa kuwa na hospital ila kama si Tanzania inapswa kuondolewa kama ulivyo dai

Waambie wabunge wenu waungane ili mpate hospital ya rufaa sio kuhamisha iliyopo

Lazima wanachi tupendane ndipo tudai maendeleo ila tusitake yote yaje kwetu tuwaone wengne wajinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom