barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Haitoi huduma kwa yeyote hata uwe na pesa zako.Malizia maswali, iko wapi na inamilikiwa na nani?
Inatibu viongozi tu wa kitaifa na usalama na familia zao? Au mtu yoyote anakuwa admitted? Toa location tukapime malaria hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kwa ajili ya viongozi wa juu wa serikali na wastaafu wakuu kama waziri mkuu, makamu wa rais na maafisa wa usalama wa taifa.