Dogo alikariri gari moja baada ya kuona kila likija Bar linakuwa na namba tofauti za kiraia akajua ni ishuHuwa wana namba za kawaida tu mkuu. Ni chache sana ikitokea..na mbona pia kama we ni mtundu na mdadisi unazijua
Mzena ni jina la mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha urais wa mwl nyererKwa nini inaitwa Mzena?
Nipo hapa Victoria petro station,naelekea makumbusho nikifika maeneo yale ntapiga picha fasta nizitupie hapaMwenye picha za majengo ya Mzena atupie tuone
Mhh Itapatikana kweli picha?? Kama ni ya Wakuu? Nina mashaka,Mwenye picha za majengo ya Mzena atupie tuone
Achana nastory za Vijiweni; Mama alipotangaza alitoa Ugonjwa? Humuamini mama??Wamemuua rais wetu kisa vaccine nikiamata nhozi nyeupe itakayo ingia kumi na nane zangu na ua
Anaumwa nini ?Muulize Andrew Nyerere ndio anapotibiwa
Ukumbuke kuaga nyumbani pia.Nipo hapa Victoria petro station,naelekea makumbusho nikifika maeneo yale ntapiga picha fasta nizitupie hapa
Ivi TISS kwenye jela yao si uwa kuna milo mitatu?
Ukumbuke kuaga nyumbani pia.
Huyu Emilio Mzena kwa uhalisia, nasikia ndiye yule mtu aliyejulikana kama "Chief" kwenye riwaya za mzee Elvis Musiba miaka hiyo, alikuwa bosi wake na Willy Gamba. Mcheki kwenye Njama, Kikomo, Kikosi cha Kisasi, Uchu etc. Kama ndivyo basi watakuwa wanamuenzi maana huyu mzee alikuwa ni lulu sana kwenye medani (ushushu)Ndo mkurugenzi wa usalama wa Taifa wa kwanza Tanzania
ugonjwa ni siri ya tabibu na mgonjwa? hivi ni kikuuliza mwana JF mwenzetu deo kisandu aka don namilson anaumwa ni unaweza kunijibu?Anaumwa nini ?
Mimi binafsi nimeijua juzi Rais alipotangaza kifo,Ina maana hii hospitali haijulikani
Nani kakwambia wana JF wote wamesikitishwa na kifo cha Jiwe, , , ,Poleni wana JF kwa msiba mzito wa kumpoteza kiongozi shupavu na mpenda maendeleo!
Pengine wapo watanzania wengi kama mimi ambao jina hili la Hospitali hii nyeti ya Mzena limekua geni kwao na wamekuja kulisikia siku za hivi karibuni, ni kawaida kwa taasisi kubwa kama hospitali kupewa majina ya watu mashuhuri au viongozi mbali mbali, na pengine Mzena ni mmoja wao. Kama kuna mwana JF mwenye kufahamu asili ya hili jina basi atiririke kwa faida ya wengi.