JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,298
- 9,524
Nimeongea na ndugu yangu ambae amepeleka mgonjwa Mwananyamala leo. Amefika saa kumi na moja asubuhi hadi saivi hajamuona daktari yeyote. Nimemshauri amutoe hapo mjongwa asije akafa. Sasa anaelekea private.
Hii ni hospital yenye wateja wengi cha kushangaza hakuna daktari kuanzia saa kumi na moja kamili hadi saa kumi na mbili na nusu wakati anaondoka pale. Hii ni leo 16/04/2019.
Viongozi angalieni hili tutamaliza watu.
Hii ni hospital yenye wateja wengi cha kushangaza hakuna daktari kuanzia saa kumi na moja kamili hadi saa kumi na mbili na nusu wakati anaondoka pale. Hii ni leo 16/04/2019.
Viongozi angalieni hili tutamaliza watu.