Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Ujue nini mkuu?Tunaomba Baba, asante baba. Watanzania wote tumekua omba omba na tukitupiwa visenti tunakumbuka kutoa shukran ya kuoewa haki yetu.
Ujenzi wa hospilai hii uliasisiwa miaka ya sabini kabla ya vita; ukakwama kuendelea kwa sababu ya vita laiki baada ya Nyerere kutoka madarakani, imepita miaka 30 bila mtu kukumbuka mradi huo tena. Je wale marais watatu waliopita walikuwa hawakusanyi kodi au ni swala la priority katika matumizi ya kodi?Tunaomba Baba, asante baba. Watanzania wote tumekua omba omba na tukitupiwa visenti tunakumbuka kutoa shukran ya kuoewa haki yetu.
Wawe huoni kama katiba yetu inakasoro?Ujue nini mkuu?
Hao wanaoshukuru wacha washukuru tu wala tusiwalaumu.
Ni kodi zetu na ni haki yetu kufanyiwa yote hayo kweli.
Lakini je, wenye mamlaka wasipokuwa na ari ya kutekeleza hayo wakawa wanabwia tu hela, kuna cha kuwafanya, zipo sheria za kuwawajibisha katika nchi zetu hizi za Afrika?
Embo nitolee mfano kama hautojali.
Mkuu watakaokuelewa ni wachache...wengi huku mitandaoni ni wapinzani, kupinga kila kitu.Ujenzi wa hospilai hii uliasisiwa miaka ya sabini kabla ya vita; ukakwama kuendelea kwa sababu ya vita laiki baada ya Nyerere kutoka madarakani, imepita miaka 30 bila mtu kukumbuka mradi huo tena. Je wale marais watatu waliopita walikuwa hawakusanyi kodi au ni swala la priority katika matumizi ya kodi?
Kwa hilo tupo mrengo mmoja.Wawe huoni kama katiba yetu inakasoro?
Thanks for this informative capture. God bless you and keep up this spirit of sharing good things