Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili umeanza kuzaa matunda baada ya hospitali hiyo kuwa ya kwanza kwenye nchi za Afrika mashariki na kati kupandikiza uboho na uroto kwa wagonjwa wa kansa.
Kabla ya mageuzi haya wagonjwa walikuwa wanalazimika kupelekwa India kwa matibabu zaidi.
Pia Muhimbili iko mbioni kuanza kupandikiza mimba.
R.I.P Magufuli
Kabla ya mageuzi haya wagonjwa walikuwa wanalazimika kupelekwa India kwa matibabu zaidi.
Pia Muhimbili iko mbioni kuanza kupandikiza mimba.
R.I.P Magufuli