payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Juzi nimesikia habari ambayo inasikitisha na ni aibu kwa taifa letu, Yaani hospitali kubwa ya taifa ambayo inaonekana ndo mkombozi wa afya zetu endapo hizi hospitali ndogo ndogo zitashindwa "inashindwa kudhibiti mbu"
....au mpaka hii wanataka wafadhili wa marekani ili warushe kwenye redio one " Mpango huu wa kudhibiti Mbu Hospitali ya Muhimbili umefadhiliwa na Msaada wa watu wa Marekani kwa Kushirikiana na madaktari bingwa wa Muhimbili"
....au mpaka hii wanataka wafadhili wa marekani ili warushe kwenye redio one " Mpango huu wa kudhibiti Mbu Hospitali ya Muhimbili umefadhiliwa na Msaada wa watu wa Marekani kwa Kushirikiana na madaktari bingwa wa Muhimbili"