Hospitali ya mbunge Godbless Lema Arusha utata, mmiliki wake hajulikani kisheria

Hospitali inayodaiwa kuwa itakuwa kwa ajili ya mama na mtoto ambayo Godbless Lema anasema kuna wazungu wanaijenga Arusha imedhihirika kuwa mmiliki wa hospitali hiyo hajulikani kisheria ni nani.

Tatizo hilo la kisheria ni kama ifuatavyo.

1.Kisheria unaposema mtu katoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa hospitali maana yake unakabidhi hati zako zote zibadilishwe kwa jina la huyo uliyemkabidhi ili majina ya kiwanja hicho yasomeke jina la huyo mjenzi.HILO HALIJAFANYIKA kiwanja kinasomeka majina ya watu binafsi.Kwa hiyo ni hospitali inayojengwa kwa title deed ya watu binafsi.

2.Wazungu wanasema wanajenga hilo jengo la hospitali wao.Kisheria hilo jengo halitakuwa la kwao kwa kuwa liko katika kiwanja cha watu binafsi ina maana wanawajengea akina Godbless Lema?

3.Hao wazungu wanajenga hospitali yao au wanaijengea halmashasuri au serikali? Je ikimalizika kujengwa itakuwa chini ya nani? maana yake kelele zinazopigwa ni kuwa inajengwa nani ataendesha hiyo hospitali baada ya ujenzi kukamilika haijulikani.Kwa hiyo haieleweki hiyo hospitali itakuwa ya binafsi au ya serikali.Kama ni binafsi ,binafsi ya nani ya hao wazungu,ya hao wenye kiwanja wenye title deed ya kiwanja au ya nani.Kama ikijengwa ikakamilika kama wazungu wataikabidhi kwa serikali au manispaa ya arusha wataikabidhije wakati hati ya kiwanja sio yake? Pia hospitali hiyo haijaingizwa kwenye mipango ya jiji au serikali ili serikali iandae mpango wa uendeshaji wake ikikamilika ikiwemo kujiandaa kuajiri watumishi wa hospitali ,bajeti za madawa nk

Swali liko pale pale mmiliki halali wa hiyo hospitali kuanzia kiwanja hadi majengo atakuwa ni nani?
Godbless Lema amekuwa akifumba fumba haweki wazi mambo ya hiyo hospitali .Inaonyesha kuna utapeli unataka kufanywa kuwafanyia hao wazungu.
Maswali ya kijinga

Mmiliki hajulikani huyo RC bwege alikuwa anaweka jiwe la msingi hewa?

Msilete wivu kwenye jitihada za watu. Hicho kikamba cha CCM kupitia Gambo mnaendelea kukisugua ili kikatike kabisa.
 
Hospitali inayodaiwa kuwa itakuwa kwa ajili ya mama na mtoto ambayo Godbless Lema anasema kuna wazungu wanaijenga Arusha imedhihirika kuwa mmiliki wa hospitali hiyo hajulikani kisheria ni nani.

Tatizo hilo la kisheria ni kama ifuatavyo.

1.Kisheria unaposema mtu katoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa hospitali maana yake unakabidhi hati zako zote zibadilishwe kwa jina la huyo uliyemkabidhi ili majina ya kiwanja hicho yasomeke jina la huyo mjenzi.HILO HALIJAFANYIKA kiwanja kinasomeka majina ya watu binafsi.Kwa hiyo ni hospitali inayojengwa kwa title deed ya watu binafsi.

2.Wazungu wanasema wanajenga hilo jengo la hospitali wao.Kisheria hilo jengo halitakuwa la kwao kwa kuwa liko katika kiwanja cha watu binafsi ina maana wanawajengea akina Godbless Lema?

3.Hao wazungu wanajenga hospitali yao au wanaijengea halmashasuri au serikali? Je ikimalizika kujengwa itakuwa chini ya nani? maana yake kelele zinazopigwa ni kuwa inajengwa nani ataendesha hiyo hospitali baada ya ujenzi kukamilika haijulikani.Kwa hiyo haieleweki hiyo hospitali itakuwa ya binafsi au ya serikali.Kama ni binafsi ,binafsi ya nani ya hao wazungu,ya hao wenye kiwanja wenye title deed ya kiwanja au ya nani.Kama ikijengwa ikakamilika kama wazungu wataikabidhi kwa serikali au manispaa ya arusha wataikabidhije wakati hati ya kiwanja sio yake? Pia hospitali hiyo haijaingizwa kwenye mipango ya jiji au serikali ili serikali iandae mpango wa uendeshaji wake ikikamilika ikiwemo kujiandaa kuajiri watumishi wa hospitali ,bajeti za madawa nk

Swali liko pale pale mmiliki halali wa hiyo hospitali kuanzia kiwanja hadi majengo atakuwa ni nani?
Godbless Lema amekuwa akifumba fumba haweki wazi mambo ya hiyo hospitali .Inaonyesha kuna utapeli unataka kufanywa kuwafanyia hao wazungu.

Ninyi wa jamii hii ya wanyama kama mwenyekiti alivyowasema mnashida kwelikweli. Hakika Mwenyekiti Mstaafu alifanya la Busara kuwatambulisha kwa Dunia maana kiujumla hamna tofauti ( Nawe mleta Mada najua Umoooo) kitabia za huyu mnyama:- :D:D:D:D:D:D

upload_2016-10-20_16-20-48.png
 
Hospitali inayodaiwa kuwa itakuwa kwa ajili ya mama na mtoto ambayo Godbless Lema anasema kuna wazungu wanaijenga Arusha imedhihirika kuwa mmiliki wa hospitali hiyo hajulikani kisheria ni nani.

Tatizo hilo la kisheria ni kama ifuatavyo.

1.Kisheria unaposema mtu katoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa hospitali maana yake unakabidhi hati zako zote zibadilishwe kwa jina la huyo uliyemkabidhi ili majina ya kiwanja hicho yasomeke jina la huyo mjenzi.HILO HALIJAFANYIKA kiwanja kinasomeka majina ya watu binafsi.Kwa hiyo ni hospitali inayojengwa kwa title deed ya watu binafsi.

2.Wazungu wanasema wanajenga hilo jengo la hospitali wao.Kisheria hilo jengo halitakuwa la kwao kwa kuwa liko katika kiwanja cha watu binafsi ina maana wanawajengea akina Godbless Lema?

3.Hao wazungu wanajenga hospitali yao au wanaijengea halmashasuri au serikali? Je ikimalizika kujengwa itakuwa chini ya nani? maana yake kelele zinazopigwa ni kuwa inajengwa nani ataendesha hiyo hospitali baada ya ujenzi kukamilika haijulikani.Kwa hiyo haieleweki hiyo hospitali itakuwa ya binafsi au ya serikali.Kama ni binafsi ,binafsi ya nani ya hao wazungu,ya hao wenye kiwanja wenye title deed ya kiwanja au ya nani.Kama ikijengwa ikakamilika kama wazungu wataikabidhi kwa serikali au manispaa ya arusha wataikabidhije wakati hati ya kiwanja sio yake? Pia hospitali hiyo haijaingizwa kwenye mipango ya jiji au serikali ili serikali iandae mpango wa uendeshaji wake ikikamilika ikiwemo kujiandaa kuajiri watumishi wa hospitali ,bajeti za madawa nk

Swali liko pale pale mmiliki halali wa hiyo hospitali kuanzia kiwanja hadi majengo atakuwa ni nani?
Godbless Lema amekuwa akifumba fumba haweki wazi mambo ya hiyo hospitali .Inaonyesha kuna utapeli unataka kufanywa kuwafanyia hao wazungu.





Swali lako basi laonyesha RC basi alikuwa anaanzidua kuanzishwa mradi wa Godbless Lema?
 
Uchumi umesimama, hakuna viwanda, mabenki hayakopeshi, watumishi wanapunguzwa, biashara zinafungwa, nguvu ninayo naitumia wapi ili niweze kupata tonge au unataka niwe mbunifu kama scorpion au panya road? Tumia ubongo kutafakari

Waziri mkuu jana Arusha Alisema uamuzi wa NSSF na PPF kuungana ili kukabiliana na tatizo la sukari nchini kwa kujenga kiwanda cha sukari mkoani Morogoro eneo la Mkulazi kitakachoweza kuzalisha tani 200,000 kwa mwaka na kuajiri watu zaidi ya 100,000 huo ni moyo wa uzalendo ambao unafaa kuigwa na kila mtu na taasisi na kampuni mbalimbali nchini.
 
Lema alienda kwa wafadhili kusema ardhi ni yake,kwenye utambulisho ilivyojulikana kuwa ardhi sio ya Lema ndipo akaanzisha vurugu na kutaka kujinyonga kwa tai aliovaa
 
kweli bana hilo la umiliki liwekwe wazi. isije ikawa wamiliki ni lema mwenyewe huku lema anajidai mawalla katoa ardhi katoa kumpa nani. lema aliwahi kudaiwa kunywa ambulance alizopewa kama msaada sasa lazima tuwe makini. katika clip moja akigombana na mkuu wa mkoa amesikika akisema yeye atakua kwenye bodi ya udhamini wa hospitali hiyo milele. mimi nimeelewa hivyo nadhani wengi pia wameelewa hivyo. huenda lema anahofia lengo lake kwenye mradi huo kutibuka ndio maana anamuhofia mkuu wa mkoa kushirikishwa na wafadhili kwenye mradi huo.
CCM mmechukizwa sana na mradi huu wa kuwasaidia kina mama na watoto.
 
Watu wakiambiwa CCM haijawahi kuwa Na nia nzuri na Watanzania! Wanakua wazito kuamini..
 
Back
Top Bottom