be unique
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,374
- 2,273
Habari za muda huu wakuu,
Naandika kwa masikitiko makubwa sana, nikiwa na ushahidi wanachosema kwakuwa mimi ni mmoja kati ya wahanga wa huduma mbovu za hospitali hiyo.
Sitaki kuanza kulaumu watumishi wa hospitali, maana sina hakika kama ni wao au serikali ndio haifikishi vifaa vya sisi wananchi kuhudumiwa.
Inawezekana vipi kwa huduma ndogo kama ya kusafisha kidonda uambiwe vifaa hakuna, tena isitoshe unatumia bima, tuachane na bima wengi watasema kwakuwa wanachelewa kulipwa, unalipia kuosha kidonda elfu tano then unaambiwa ununue gloves serious kweli?
Unaenda duka la dawa la watu wa bima, unatakiwa upewe gloves ulafanyiwe huduma wanasema hakuna kanunue nje, ni kawaida sana kwenda kupata huduma tena hata sio huduma hizo kubwa ndogo tu na bado ukaambiwa vifaa hakuna.
Kuna faida gani kuipa hadhi na kuita hospitali ya wilaya wakati hata huduma ndogo tu wanashindwa kutoa kwa uhakika, nadhani liangaliwe vizuri hili swala la kuipa hadhi kubwa kisa majengo mapya wakati huduma zake bado mbovu.
Nawasilisha.
Naandika kwa masikitiko makubwa sana, nikiwa na ushahidi wanachosema kwakuwa mimi ni mmoja kati ya wahanga wa huduma mbovu za hospitali hiyo.
Sitaki kuanza kulaumu watumishi wa hospitali, maana sina hakika kama ni wao au serikali ndio haifikishi vifaa vya sisi wananchi kuhudumiwa.
Inawezekana vipi kwa huduma ndogo kama ya kusafisha kidonda uambiwe vifaa hakuna, tena isitoshe unatumia bima, tuachane na bima wengi watasema kwakuwa wanachelewa kulipwa, unalipia kuosha kidonda elfu tano then unaambiwa ununue gloves serious kweli?
Unaenda duka la dawa la watu wa bima, unatakiwa upewe gloves ulafanyiwe huduma wanasema hakuna kanunue nje, ni kawaida sana kwenda kupata huduma tena hata sio huduma hizo kubwa ndogo tu na bado ukaambiwa vifaa hakuna.
Kuna faida gani kuipa hadhi na kuita hospitali ya wilaya wakati hata huduma ndogo tu wanashindwa kutoa kwa uhakika, nadhani liangaliwe vizuri hili swala la kuipa hadhi kubwa kisa majengo mapya wakati huduma zake bado mbovu.
Nawasilisha.