Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ushabiki usio kuwa na tija kwani dini inaruhusu kufanya ubadhilifu? acha kutetea ujingaUandishi mzima una kasoro nyingi sana. Lakini sio haba, ujumbe umefika.
Nitajaribu kuchambua baadhi ya hoja kwa uchache.
1/Ni makosa makubwa sana kuilinganisha KCMC na Muhimbili kwa sababu...
-Muhimbili ni shirika kuu la serikali(umma) lina fungu kubwa rasmi la bajeti yake kutoka serikalini kila mwaka kwa ajili ya kuendesha kila kitu. Idadi ya watumishi wa Afya walioajiriwa Muhimbili ni wengi kuliko taasisi yoyote ya Afya hapa tanzania(interms of Patient to medical personnel ratio), na wote wanalipwa na serikali, tena mishahara mikubwa zaidi kuliko watumishi wengine wote wa Afya hapa Tanzania wa serikali.(Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi ya watumishi wa Sekta ya Afya serikalini)
-KCMC ni taasisi ya kanisa, inaendeshwa kwa pesa za kanisa, misaada ya marafiki, malipo ya wagonjwa wanapotibiwa na ruzuku ya serikali. Wanajiendesha kwa wakati mgumu sana. Kuajiri watumishi wao itakuwa ni mbinde kweli kweli.
2/Japokuwa sijafanikiwa kufika KCMC kwa miaka mingi sana, lakini mara kadhaa siku za hivi karibuni nimeona kupitia kwenye vyombo vya habari kuwa ndani ya miaka mitatu wameweza kuanzisha vitengo vipya maalum vya Dharula(Emergency), Moto(Burn), Figo bandia, Kansa, Ulemavu wa mifupa, kitengo cha kihasibu cha malipo kutumia mtandao/benki nk.
Sasa sijui kama hao wakuu wao wapya waliyakuta hayo tayari au wao ndio waliwezesha hayo?
3/Ukweli ni kwamba mpaka sasa KCMC ndio hospitali tegemeo sana kwa ukanda mzima wa Kaskazini, ikihudumia mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga, lakini pia mikoa ya Singida, Dodoma na baadhi ya maeneo ya Kenya nk. Kuna vitengo viko pale(kama macho, ngozi nk) ambavyo ni tegemeo kubwa kwa Afrika na dunia. Lakini KCMC imekuwa ikipewa ruzuku kidogo mno kutoka serikalini. Katika mazingira hayo usitegemee mambo makubwa sana zaidi ya watu kutibiwa na kwenda zao. To sustain that thing sio jambo la mchezo mchezo.
4/Tuhuma nyingi zimelenga watu fulani badala ya kulenga hoja. Na nyingi ni hisia zenye aina fulani ya chuki au wivu. Kwa mfano, mleta mada anahoji kwanini viongozi wa hospitali hiyo ambao ni madaktari wanafanikisha huduma bora katika hospitali zao binafsi lakini wanashindwa kufanya hivyo kwa KCMC? Jibu ni moja tu, kule kunakomlipa mtu vizuri kutakuwa bora tu.
5/Nadhani KCMC ni mali ya kanisa la Lutherani Tanzania kwa 100%. Serikali ni mdau tu mwenye dhamana ya kuhakikisha malengo makuu ya KCMC ya kutoa huduma za Afya yanatekezwa. Sasa malalamiko yake dhidi ya Kanisa hilo katika ufujaji wa fedha zake zenyewe yanakosa nguvu ya kufanyiwa kazi hata kama ni malalamiko yana ukweli kabisa. Ni nani wa kufuatilia hayo kwa kina? Ni nani wakuchukua hatua dhidi ya Kanisa hilo?
Uandishi mzima una kasoro nyingi sana. Lakini sio haba, ujumbe umefika.
Nitajaribu kuchambua baadhi ya hoja kwa uchache.
1/Ni makosa makubwa sana kuilinganisha KCMC na Muhimbili kwa sababu...
-Muhimbili ni shirika kuu la serikali(umma) lina fungu kubwa rasmi la bajeti yake kutoka serikalini kila mwaka kwa ajili ya kuendesha kila kitu. Idadi ya watumishi wa Afya walioajiriwa Muhimbili ni wengi kuliko taasisi yoyote ya Afya hapa tanzania(interms of Patient to medical personnel ratio), na wote wanalipwa na serikali, tena mishahara mikubwa zaidi kuliko watumishi wengine wote wa Afya hapa Tanzania wa serikali.(Hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi ya watumishi wa Sekta ya Afya serikalini)
-KCMC ni taasisi ya kanisa, inaendeshwa kwa pesa za kanisa, misaada ya marafiki, malipo ya wagonjwa wanapotibiwa na ruzuku ya serikali. Wanajiendesha kwa wakati mgumu sana. Kuajiri watumishi wao itakuwa ni mbinde kweli kweli.
2/Japokuwa sijafanikiwa kufika KCMC kwa miaka mingi sana, lakini mara kadhaa siku za hivi karibuni nimeona kupitia kwenye vyombo vya habari kuwa ndani ya miaka mitatu wameweza kuanzisha vitengo vipya maalum vya Dharula(Emergency), Moto(Burn), Figo bandia, Kansa, Ulemavu wa mifupa, kitengo cha kihasibu cha malipo kutumia mtandao/benki nk.
Sasa sijui kama hao wakuu wao wapya waliyakuta hayo tayari au wao ndio waliwezesha hayo?
3/Ukweli ni kwamba mpaka sasa KCMC ndio hospitali tegemeo sana kwa ukanda mzima wa Kaskazini, ikihudumia mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga, lakini pia mikoa ya Singida, Dodoma na baadhi ya maeneo ya Kenya nk. Kuna vitengo viko pale(kama macho, ngozi nk) ambavyo ni tegemeo kubwa kwa Afrika na dunia. Lakini KCMC imekuwa ikipewa ruzuku kidogo mno kutoka serikalini. Katika mazingira hayo usitegemee mambo makubwa sana zaidi ya watu kutibiwa na kwenda zao. To sustain that thing sio jambo la mchezo mchezo.
4/Tuhuma nyingi zimelenga watu fulani badala ya kulenga hoja. Na nyingi ni hisia zenye aina fulani ya chuki au wivu. Kwa mfano, mleta mada anahoji kwanini viongozi wa hospitali hiyo ambao ni madaktari wanafanikisha huduma bora katika hospitali zao binafsi lakini wanashindwa kufanya hivyo kwa KCMC? Jibu ni moja tu, kule kunakomlipa mtu vizuri kutakuwa bora tu.
5/Nadhani KCMC ni mali ya kanisa la Lutherani Tanzania kwa 100%. Serikali ni mdau tu mwenye dhamana ya kuhakikisha malengo makuu ya KCMC ya kutoa huduma za Afya yanatekezwa. Sasa malalamiko yake dhidi ya Kanisa hilo katika ufujaji wa fedha zake zenyewe yanakosa nguvu ya kufanyiwa kazi hata kama ni malalamiko yana ukweli kabisa. Ni nani wa kufuatilia hayo kwa kina? Ni nani wakuchukua hatua dhidi ya Kanisa hilo?
Siwezi kushabikia kitu, mimi nimechambua hoja katika mada husika.Huo ni ushabiki usio kuwa na tija kwani dini inaruhusu kufanya ubadhilifu? acha kutetea ujinga
Mkuu ni lini huduma zao zilikuwa bora?Hata huduma za KCMC kwa sasa sio bora.
unahuzunishaunachekesha
Halafu anavoongea kama kadhurumiwa vileUnasema hawaajiri vipi raisi naye anaajiri ???
Hivyo naye fisadi.???
Acha umbea maana inaonekana ulikuwa mfanyakazi pale ila ULIFUKUZWA KWA VYETI FEKI.
Shame on you.
Sent using Jamii Forums mobile app
.....bado kuna ile MoU in effect !?factual du ni hatari maana hospitali za dini imekuwa mtihani
Acha kuwashwaKasome ujiendeleze uwe na wewe mkurugenzi achana na majungu si mtaji ndugu.Wakati wenzio wanasoma we ulikuwa wapi?Shida hawa wa vyeti Feki wakishasombwa na mafuriko ya bashite ndio kuchafulia wengine.Kweeendraaaa kule pumbavuuuu