Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,003
- 12,466
Hapana wewe ndiye chizi na hayawani. Walichokifanya Bugando ni sahihi, wamefanya risk analysis. Barakoa ni chanzo cha maambukizi kisipowekwa vizuri, mwingine anaweza ichukua akaitumia hata mwezi tena kila siku wakati ni kwa 3-8 hours only. Sasa ewe chizi hutaelewa kwa sababu huna akili.Dahhhhh no seriousness kabisa hutatakiwi onewa huruma na mtu yeyote hatufaham kinachoendelea baada ya kutumia izo barakoa ila ni uchizi zaidi kukuta hospitali bingwa yenye wataalamu wa afya best ....wanakuja na maamuzi yakihayawani kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app