#COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

Je, kwasasa ndio kipaumbele?

Je, hili ni la muhimu kuliko huduma za msingi za jamii zinazochechema?

Je, hili ni la lazima sana kiasi kwamba lisipofanyika kuna watu wataathirika kiafya, kijamii na kiuchumi?

Kuingiza milion 400 kwa dakika kumi tu kwa serikali hakumaanishi kuwe na matumizi mabovu

Sent using Jamii Forums mobile app

unatumia kigezo gan kuiclassify kama matumizi mabovu? Lini ni mda sahihi wa kuchonga sanamu? Budget ya nasa ni $20B kila mwaka wa fedha, je ni matumizi mabovu kisa kuna watu hawana kazi? ama wanaishi kwenye umaskini?

- Budget ya jeshi la marekani ni $1 trillion, je ni matumizi mabovu pia?
mil 400 ni ela ndogo sana kwa serikali ndan ya dakika chache tu imerudi tatizo lipo wap apo?
 
Hata mimi mjomba wa rafiki yake na rafiki yangu,mama yake ambaye ni shangazi wa bibi yake,juzi kakutwa kwa mjukuu wake akiwa hoi hajitambui.

Wanasema hiyo ni corona.
It's truee musoma hali ni mbaya.... Kuna mzee mashuhuri anaitwa Pascal, maarufu kma ''Baba watoto'' amefariki majuzi tu kwa hiyo changamoto. Ni family friend so muache ubishi usio na tija.
 
It's truee musoma hali ni mbaya.... Kuna mzee mashuhuri anaitwa Pascal, maarufu kma ''Baba watoto'' amefariki majuzi tu kwa hiyo changamoto. Ni family friend so muache ubishi usio na tija.
Sijabisha nimekupa kisa cha jamaa zangu pia.
 
Kwamba toka mwaka jana ambapo ndio corona ilitangazwa kuingia Tanzania na hatuwa tukichukua tahadhari ila hatukuwahi kusikia upungufu wa mitungi ya oksijeni, kwanini sasa?
Haaahaaaa bado upo denial stage? Ndio maana madikteta huminya taarifa ili muwasikilize wao tu wanachosema. Mtu hujawahi kwenda Bugando kipindi cha Covid 19 wave 2 alafu upo nyuma ya keyboard unabisha ulitegemea taarifa itoke wapi??

Kuna mchungaju wetu alifia kwenye ka-dispensary mwaka jana march kisa tu alikataliwa hospitali kubwa kubwa zilizokua zimejaa watu wenye changamoto za kupumua. Ukitaka jina ntakupa PM uka verify....

Tuache ubishi kma hatuna facts
 
VP kuhusu upungufu wa damu,acheni tukufe bana tukaungane na ndugu yetu msemakweli Le dikteta Màgufool
 
Haaahaaaa bado upo denial stage? Ndio maana madikteta huminya taarifa ili muwasikilize wao tu wanachosema. Mtu hujawahi kwenda Bugando kipindi cha Covid 19 wave 2 alafu upo nyuma ya keyboard unabisha ulitegemea taarifa itoke wapi?....
Sasa asingekufa nani ungepata nafasi ya kulamba vijisadaka hapo kwenye kakanisa kenu
 
Swala ni kuongeza mitungi,wanazidiwa na wagonjwa nlikua wodi ya private nauguza,kwa siku ilikua inapangwa mitungi zaidi ya hamsini ikifika mchana imeisha...mgonjwa wa covid kumaliza mitungi 5 akiwa serious ni jambo la kawaida
Kwa statistics (namba) uliyotoa, mitungi 50 kwa siku inaonesha uhakisia wa upungufu wa mitungi kweli kama hali iko kama ulivyoelezea-hata mimi darasa la saba nimepata picha na kuelewa siyo kama mwanzisha uzi ambae hajatoa idadi ya mitungi iliyopo standby na inayotumika kwa siku.
 
Kwa statistics (namba) uliyotoa, mitungi 50 kwa siku inaonesha uhakisia wa upungufu wa mitungi kweli kama hali iko kama ulivyoelezea-hata mimi darasa la saba nimepata picha na kuelewa siyo kama mwanzisha uzi ambae hajatoa idadi ya mitungi iliyopo standby na inayotumika kwa siku.
Kuna wagonjwa wa covid nimeshuhudia mitungi 5 anamaliza kwa siku,inategemea alikuja n hali gani
 
Haaahaaaa bado upo denial stage? Ndio maana madikteta huminya taarifa ili muwasikilize wao tu wanachosema. Mtu hujawahi kwenda Bugando kipindi cha Covid 19 wave 2 alafu upo nyuma ya keyboard unabisha ulitegemea taarifa itoke wapi??

Kuna mchungaju wetu alifia kwenye ka-dispensary mwaka jana march kisa tu alikataliwa hospitali kubwa kubwa zilizokua zimejaa watu wenye changamoto za kupumua. Ukitaka jina ntakupa PM uka verify....

Tuache ubishi kma hatuna facts
Sijabisha bali nahoji tatizo humu ukihoji unaonekana unabisha kwamba hutakiwi kuhoji.

Vifo kama hicho cha Mchungaji ndio visa ambavyo vimetokea sana huko kwa wenzetu yani ile taharuki ya corona imesababisha vifo vingi tu watu walikuwa wafanye operation zikahairishwa wengine wanaogopa kwenda hospitali kwa kuhofia corona yani taflani hata Bongo wagonjwa wa presha moyo n.k walipungua kwenda clinic kipindi kile cha mwanzoni mwaka jana.

Ila nachokiona ni kwamba kuna vitu tunaambiwa vyenye kuhusishwa na corona ila hatujui kabla ya corona hivyo vitu hali ilikuaje,unaweza ukapewa takwimu za vifo vya kundi fulani na kuhusishwa na corona ila usiambiwe huko nyuma before corona hilo kundi takwimu zake za vifo zilikuaje.
 
Mbona bado wanaumwa kuliko sisi tusiochanjwa?
Hahahha umewapima wangapi mkuu? Hta leo tukipima watanzania 70% VVU na Saratani trust me namba itakayopatikana itatisha mnoo.

So sie tunaugua wengi maybe inakua mild tu so tunarecover bila kuonyesha dalili ila wenzetu wanapima hta kma huna dalili ndio maana namba inakua kubwa.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom