Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 693
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya utendaji kazi mbovu wa hospitali hii ya Benjamin Mkapa iliyoko hapa jijini Dodoma.
Nimeshuhudia zaidi ya matukio matatu ya watu kupoteza maisha kwa uzembe wa madaktari,wauguzi na wahudumu wa hospitali hii. Ninaomba serikali itupie jicho lake katika hospitali hii ili tusiendelee kupoteza roho za Watanzania kwa uzembe na sababu zinazoweza kuzuilika.
Nawasilisha.
Nimeshuhudia zaidi ya matukio matatu ya watu kupoteza maisha kwa uzembe wa madaktari,wauguzi na wahudumu wa hospitali hii. Ninaomba serikali itupie jicho lake katika hospitali hii ili tusiendelee kupoteza roho za Watanzania kwa uzembe na sababu zinazoweza kuzuilika.
Nawasilisha.