Hospitali ya AMI iliyoko Masaki yafungwa

Uchumi wa tanzania uko very artificial na umejaa usanii mwingi sana, ndio maana wawekezaji kutoka nje wakiuangalia wanaona ni potential area kwa kuwekeza lakini wakishawekeza wanagundua kuwa ni impossible for business na hasa biashara halali.
Hebu angalia makampuni kama Shoprite walidhani mji wenye wakazi zaidi ya 6,000,000 una potential kubwa kuwekeza lakini wameishia kufunga maduka yao. Angalia makampuni makini kama BP, Chevron wameishia kufunga biashara zao na kuondoka maana competitors wao wanachakachua mafuta na hakuna anayewagusa!
Sasa na hii hospitali ilivyooona watu wanatumia 10m kwa ajili ya mboga tu wakajua wakiwekeza hi-tech medical facilities watapata pesa lakini wale wale waliowashawishi wanaishia APPOLO!

Well said.
 
Mmmhh!!!

Kwa nini? Hii ni hospitali kubwa ati, ni hospitali ya mkoa kihadhi...

Mmmmh mbona mbunge wa huko haendi tibiwa pale????

Hata waziri mdogo tu hakanyagi......

Usiwasikilize wanaokwambia ina hadhi ya mkoa........
 
Duh last time walikanusha....sijui this time watasemaje. Hospital ni ghali ile dah
 
Itanisikitisha sana kama hawa wapangaji walifanya makusudi ili wapate super profit halafu waishie zao
 
Nasikia wafanyakazi wengi wamehamia ile hospitali mpya inaitwa MSASANI PENINSULA HOSPITAL, ipo msasani ile njia inatokea mikocheni Tanesco. Ipo mwanzoni huku upande wa Msasani ile barara ya ndani. Nina ndugu yangu ameanza kazi hapo juzi juzi ameniambia.
Ama kweli kizuri hadumu. Watuambie wamehamia wapi
 
Mmmhh!!!

Kwa nini? Hii ni hospitali kubwa ati, ni hospitali ya mkoa kihadhi...

E bana yani hata kuiita ni hospitali ya mkoa naona bado hukuitendea haki kwani pale palikuwa ni Intanesnho ati
Mimi nilipita sikumoja pale nikajui ni hoteli ya five star kumbe ilikuwa ni hospitali duh!
 
Vita vya kimaslahi, tukose wote
R.I.P Daktari bingwa wa moyo F. Massao na hao waliodhani kuwa kuendesha hospitali kubwa ya moyo bila hata kukupa support kama mzawa waone na wengine wanavyoshindwa sasa maana walidhani wewe ndio huna uwezo!

 
Ushindani mwingine wa Kimaslahi hata Mungu hapendi.
Sasa akija mwingine na yeye siku nyingine watahama tena,kweli.
Hao ndio wanaomba watu waumwe hao.Yaani wanagombania wagonjwa kwa kufitinishana wao kwa wao.
 
Uchumi wa tanzania uko very artificial na umejaa usanii mwingi sana, ndio maana wawekezaji kutoka nje wakiuangalia wanaona ni potential area kwa kuwekeza lakini wakishawekeza wanagundua kuwa ni impossible for business na hasa biashara halali.
Hebu angalia makampuni kama Shoprite walidhani mji wenye wakazi zaidi ya 6,000,000 una potential kubwa kuwekeza lakini wameishia kufunga maduka yao. Angalia makampuni makini kama BP, Chevron wameishia kufunga biashara zao na kuondoka maana competitors wao wanachakachua mafuta na hakuna anayewagusa!
Sasa na hii hospitali ilivyooona watu wanatumia 10m kwa ajili ya mboga tu wakajua wakiwekeza hi-tech medical facilities watapata pesa lakini wale wale waliowashawishi wanaishia APPOLO!

Umeongea ukweli mtupu mkuu
 
Wanadaiwa kodi ya miaka miwili 3bils,hii hospital ipo kwa mda mrefu navyojua mimi wangekuwa makini wangepanga kwa miezi 6 tu then wangejenga hospital yao wenyewe maana kwa 3bils unapata jengo matata sana.
 
Wanadaiwa kodi ya miaka miwili 3bils,hii hospital ipo kwa mda mrefu navyojua mimi wangekuwa makini wangepanga kwa miezi 6 tu then wangejenga hospital yao wenyewe maana kwa 3bils unapata jengo matata sana.
Sio kwa Masaki
 
Back
Top Bottom