MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Sijui ni leo tu au siku zote. Sijui ni Amana tu ama na kwingineko. Kupata chanjo inakubidi uwe na subra. Toka saa tano nipo hapa mpaka muda huu saa nane na dakika ishirini bado sijachanjwa.
Na wahudumu siwaoni sijui wameenda kula.
Gwajima wawili kila mtu akivutia kwake wengine tumeamua kuchanja. Lakini ninacho kiona hapa kinakatisha tamaa sana.
Na wahudumu siwaoni sijui wameenda kula.
Gwajima wawili kila mtu akivutia kwake wengine tumeamua kuchanja. Lakini ninacho kiona hapa kinakatisha tamaa sana.