Kwani Hii Coz yako ya IT inafanyiwa internship hapo Muhimbili au KCMC?
Msaada IT
Na hii Coz ya Mziki je?
Naomba kufahamishwa chuo cha muziki
Na hii Diploma ya CO / Pharmaceutical Tech ulimaliza muda gani mpaka ukafikia MD kuwa umeshagraduate?
Clinical medicine na diploma ya pharmacy
"Unapokuwa Muongo uwe na Kumbuknu"
aiseeeKwani Hii Coz yako ya IT inafanyiwa internship hapo Muhimbili au KCMC?
Msaada IT
Na hii Coz ya Mziki je?
Naomba kufahamishwa chuo cha muziki
Na hii Diploma ya CO / Pharmaceutical Tech ulimaliza muda gani mpaka ukafikia MD kuwa umeshagraduate?
Clinical medicine na diploma ya pharmacy
"Unapokuwa Muongo uwe na Kumbuknu"
Nilitaka nimjibu ila nimeona hili swali lina jibu tofauti na jibu langu.Unataka historia ya maisha yangu?
Muhimbili utaishia kupeleka sample laboratory bora hata kcmc kidogo.... lakini kama unataka shule na kupata experience nenda mwananyamala, temeke ,iringa ,mbeyaKwa nini mkuu?
Muhimbili utaishia kupeleka sample laboratory bora hata kcmc kidogo.... lakini kama unataka shule na kupata experience nenda mwananyamala, temeke ,iringa ,mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatembeaga na First Aid Kit muda woteMuhimbili utaishia kupeleka sample laboratory bora hata kcmc kidogo.... lakini kama unataka shule na kupata experience nenda mwananyamala, temeke ,iringa ,mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimbili sio sehem ya kufanyia intern pale..Wanatembeaga na First Aid Kit muda wote
Kuna kazi nyingi sana kwa Interns wote(Doctors, Nurses, Pharmacists, Lab Scientists) japo kuna posho ya overtime lakini wanasota sana.Muhimbili sio sehem ya kufanyia intern pale..
Hasa kama hujasoma pale utafwatilia damu maabara hadi uchanganyikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimbili sio sehem ya kufanyia intern pale..
Hasa kama hujasoma pale utafwatilia damu maabara hadi uchanganyikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Hii Coz yako ya IT inafanyiwa internship hapo Muhimbili au KCMC?
Msaada IT
Na hii Coz ya Mziki je?
Naomba kufahamishwa chuo cha muziki
Na hii Diploma ya CO / Pharmaceutical Tech ulimaliza muda gani mpaka ukafikia MD kuwa umeshagraduate?
Clinical medicine na diploma ya pharmacy
"Unapokuwa Muongo uwe na Kumbuknu"
Daaaah bwege huyu...Kwani Hii Coz yako ya IT inafanyiwa internship hapo Muhimbili au KCMC?
Msaada IT
Na hii Coz ya Mziki je?
Naomba kufahamishwa chuo cha muziki
Na hii Diploma ya CO / Pharmaceutical Tech ulimaliza muda gani mpaka ukafikia MD kuwa umeshagraduate?
Clinical medicine na diploma ya pharmacy
"Unapokuwa Muongo uwe na Kumbuknu"
Daaaah bwege huyu...
Anatufungasha watu na heshima zetu kama wajinga aisee...
Asante kwa kumuumbua
Sent using Jamii Forums mobile app