Big Dy
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 467
- 541
Natumaini wote mu wazima mpaka kufika hapa.
Naomba kushauriwa hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje kwa njia ya kawaida au mkasi?
Nilikua muhimbil earlier kwa service zake nimeona nibadilishe gear angani hata kwa hiyo wanayoita fast track bado ni mtihani sana.
Natanguliza shukran za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kushauriwa hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje kwa njia ya kawaida au mkasi?
Nilikua muhimbil earlier kwa service zake nimeona nibadilishe gear angani hata kwa hiyo wanayoita fast track bado ni mtihani sana.
Natanguliza shukran za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app