emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
Habari wakuu nina mtoto ana umri wa miezi 8 na wiki 4, wakati anazaliwa kidogo alipata shida kwa sababu mama alishindwa kusukuma, ingawa Mungu alisaidia akazaliwa bila upasuaji.
Kutokana na hayo aliugua nimonia akiwa mchanga sana hvo akapata degedege, alipelekwa KCMC akawekwa kwenye incubator wanapowekwa watoto wachanga wanaozaliwa na matatizo mbalimbali alifanikiwa kupona.
Lakini alitoka akiwa macho hayajakaa vizuri, naweza sema kengeza. tumempeleka hospitali kadhaa kubwa bado hatujapata tiba. sehemu ya kwnza tulioenda alipewa vibandiko awe anaziba jicho moja kwa zamu kwa matarajii kuwa yatatengamaa na kuwa sawa lkn haikuzaa matunda.
KCMC tumerudi mara mbili, ya mwisho docter kasema anahitaji operasheni lakini mpka afikishe miaka 2 au 1. Napata shida kwa sababu kila hospitali na hata tunaporudi hospitali hiyohiyo na kukutana ma docter tofauti kila mmoja anatoa tiba tofauti juu ya tatizo lake. Jicho moja la kulia liko vizuri, limebaki la kushoto tu. Naombeni ni hospitali gani au clinic ipi kwa dar es saalam wako makini na kazi yao nimpeleke dogo.
ahsanteni
Kutokana na hayo aliugua nimonia akiwa mchanga sana hvo akapata degedege, alipelekwa KCMC akawekwa kwenye incubator wanapowekwa watoto wachanga wanaozaliwa na matatizo mbalimbali alifanikiwa kupona.
Lakini alitoka akiwa macho hayajakaa vizuri, naweza sema kengeza. tumempeleka hospitali kadhaa kubwa bado hatujapata tiba. sehemu ya kwnza tulioenda alipewa vibandiko awe anaziba jicho moja kwa zamu kwa matarajii kuwa yatatengamaa na kuwa sawa lkn haikuzaa matunda.
KCMC tumerudi mara mbili, ya mwisho docter kasema anahitaji operasheni lakini mpka afikishe miaka 2 au 1. Napata shida kwa sababu kila hospitali na hata tunaporudi hospitali hiyohiyo na kukutana ma docter tofauti kila mmoja anatoa tiba tofauti juu ya tatizo lake. Jicho moja la kulia liko vizuri, limebaki la kushoto tu. Naombeni ni hospitali gani au clinic ipi kwa dar es saalam wako makini na kazi yao nimpeleke dogo.
ahsanteni