Hospitali gani Dar wana-check na kutibu tatizo la Uzazi?

Habari,

Mimi na mke wangu hatujabahatika kupata mtoto, wala dalili ya ujauzito na hatuji shida ipo kwa nani na ni shida gani? Tumekubaliana mwezi huu tutafute suluhisho, ni wapi nitapata hospitali ya ku-check kujua tatizo na suluhisho?
Hospitali nying sana ww, muone gynecologist.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom