Kumbe ndie huyu nilitaka poteza muda kumsaidia
😱😱😱
Hospitali nying sana ww, muone gynecologist.Habari,
Mimi na mke wangu hatujabahatika kupata mtoto, wala dalili ya ujauzito na hatuji shida ipo kwa nani na ni shida gani? Tumekubaliana mwezi huu tutafute suluhisho, ni wapi nitapata hospitali ya ku-check kujua tatizo na suluhisho?