TMJ,Regency,Aga khan,CCBRT,Hindu mandal na lugalo ya jeshi.
pia serikali imeweka mkazo na kuongeza nguvu katika hospitali za mwananyamala,temeke na Amana.
Pia madaktari wastaafu na wale waliopo wizara ya afya wataenda katika hospitali zenye upungufu wa madaktari.
My take;tunaomba sana roho za watanzania zisipotee kutokana na mgomo.
pia serikali imeweka mkazo na kuongeza nguvu katika hospitali za mwananyamala,temeke na Amana.
Pia madaktari wastaafu na wale waliopo wizara ya afya wataenda katika hospitali zenye upungufu wa madaktari.
My take;tunaomba sana roho za watanzania zisipotee kutokana na mgomo.