Wan JF naomba mchango wenu kuna baadhi ya mashirika ya habari yanamuita aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak kuwa ni Firauni wa zama hizi. Swali langu je ni sawa kumpa sifa au jina hili. je kweli kwamba, Hosni Mubarak amefanya unyama mkubwa sawa na Firauni au kumzidi?