Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,986
- 1,282
Huyu ndio Membe: Kachero, mwanadiplomasia nguri na mwanasiasa anayempa tumbo joto Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du! So hata kura moja hatapata?Hana lolote hiyo.
He is so very overrated. And even worse, he overrates himself.
Hana lolote hiyo.
He is so very overrated. And even worse, he overrates himself.
Hata waziri mkuu, ana uwezo mzuri mno wa kupambana hoja, ametulia katika kjubu maswali.Huyu jamaa yuko vizuri sana, wengi walikuwa hawamfahamu vizuri, lakini Interview anazofanya hivi karibuni zimedhihirisha kitu kimoja. Jamaa yuko njema sana upstairs.
He can make a very good president!
Bora mvurugo kuliko mgombea asiyekuwa nazo kabisaAna mvurugo wa akili kwa sasa
Hana jipya
He is just an imposter if I haven't mistaken ,pleaseHana lolote huyo.
He is so very overrated. Even worse, he overrates himself.
Huo uonevu ulikuwepo tangu alipokuwa wazir wa mambo ya nje..mbona hakuinua kinywa chake..hujui historia wewe naona..hana lolote huyoo..na ww usiwe unashibikia bila kuchunguza historia ya mtu..huyoo n uchu wa madaraka unamsumbua tuHuyu jamaa yuko vizuri sana, wengi walikuwa hawamfahamu vizuri, lakini Interview anazofanya hivi karibuni zimedhihirisha kitu kimoja. Jamaa yuko njema sana upstairs.
Inaonekana misimamo yake ya kuchukia uonevu, kutaka utawala wa sheria, demokrasia, kuzingatia haki za msingi za wananchi na kukipa kipaumbele kilimo ni misimamo sahihi sana, na hivyo ni vitu vikubwa tunavyovikosa katika utawala wa awamu hii.
Membe can make a very good president!
Sasa hivi atakuwa "mbobezi" na zzk na wananchi wa RondoHuyu ndio Membe: Kachero, mwanadiplomasia nguri na mwanasiasa anayempa tumbo joto Magufuli.View attachment 1507809View attachment 1507810
Huo uonevu ulikuwepo tangu alipokuwa wazir wa mambo ya nje..mbona hakuinua kinywa chake..hujui historia wewe naona..hana lolote huyoo..na ww usiwe unashibikia bila kuchunguza historia ya mtu..huyoo n uchu wa madaraka unamsumbua tu
Mkuu..uonevu n uonevu tuu..pamoja na kwamba haukuwa mkubwaa..lakin hakupaswaa akae kimyaa kwa vyovyote vile..mana alikuwa kwenye nafasi kubwaa sana..Unalinganisha uonevu unaofanywa na serikali hii kwa wapinzania na wakosoaji na ile ya awamu ya nne?
Hii imezidisha!