Honourable Bernard Kamilius Membe, former Minister for Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania

Huyu jamaa yuko vizuri sana, wengi walikuwa hawamfahamu vizuri, lakini Interview anazofanya hivi karibuni zimedhihirisha kitu kimoja. Jamaa yuko njema sana upstairs.

Inaonekana misimamo yake ya kuchukia uonevu, kutaka utawala wa sheria, demokrasia, kuzingatia haki za msingi za wananchi na kukipa kipaumbele kilimo ni misimamo sahihi sana, na hivyo ni vitu vikubwa tunavyovikosa katika utawala wa awamu hii.

Membe can make a very good president!
Righto! Better than
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom