Nguniani
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 1,076
- 1,165
Angemuacha basi achukue formLabda anampa tumbo joto Lissu.Sio mwamba jiwe!
Lissu&Membe wanapeana matumbo joto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angemuacha basi achukue formLabda anampa tumbo joto Lissu.Sio mwamba jiwe!
Lissu&Membe wanapeana matumbo joto.
Akachukulie huko anapojua yeye.Angeleta mgogoro.Angemuacha basi achukue form
Sawa hatukatai kama hana nguvu mbona mnawekeza sana kupambana nae?Hana lolote huyo.
He is so very overrated. Even worse, he overrates himself.
Wewe ni kamasi madaraja ya kupigia picha ni maendeleo ya kusema?Hivi Tanzania inaongozwa na CV ndefu ya Mtu kama hii au ni Uwajibikaji na Uthubutu tu wa Mtu katika Kuwaletea Maendeleo lukuki Watanzania?
Yule Mzee wenu mwenye roho ya kushetani aliyetaka Kumuua Lissu akisikia Jina Lissu anatetemekaLabda anampa tumbo joto Lissu.Sio mwamba jiwe!
Lissu&Membe wanapeana matumbo joto.
Righto! Better thanHuyu jamaa yuko vizuri sana, wengi walikuwa hawamfahamu vizuri, lakini Interview anazofanya hivi karibuni zimedhihirisha kitu kimoja. Jamaa yuko njema sana upstairs.
Inaonekana misimamo yake ya kuchukia uonevu, kutaka utawala wa sheria, demokrasia, kuzingatia haki za msingi za wananchi na kukipa kipaumbele kilimo ni misimamo sahihi sana, na hivyo ni vitu vikubwa tunavyovikosa katika utawala wa awamu hii.
Membe can make a very good president!