kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
JK kajenga UDOM, kajenga taasisi ya magonjwa ya moyo, kajenga Hospitali ya mloganzila wala hakuweka majiwe ya msingi kwa mbwembwe hizi. Nimeshangaa sana Jana, yaani uzinduzi wa hosteli unawaleta bongo movie? Yaani ukimtegemea division 0 atazidi kukuvua nguo daima