Nimesikiliza kwenye redio kwamba habari hii imeshathibitishwa na NEC. Fisadi njeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Acheni Mungu aitwe Mungu. Watanzania tumelia sana. Ukombozi ni huu. Asanteni sana watu wa Rombo. Kitaeleweka tu mwaka huu. Tutalia kwa furaha