Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,047
- Thread starter
- #81
Amka toka usingizini!Hao wanaotumia daladala hawawezi jua ukubwa na ubora wa Mby, maana ukianzia Uyole highway kuelekea Iyunga, unapasua Km zaidi ya 15 katikati ya jiji, inakuruhusu kuingia kulia au kushoto zaidi ya km 5 kila upande. Huko ndiko utajua kama Mb ina majengo ya ovyo au vp? Sasa wao wakipita high way tu basi. Sidhani hapa Tz kama kuna miji zaidi ya 3 iliyojengwa eneo kubwa kama Mb.
Hawa ni kama wanaopima ubovu wa DSM kwa kutumia Manzese. Hata DSM nje ya Masaki na maeneo mengine kama hayo kuna mchanganyiko wa nyumba mbovu na za maana, mfano Mikocheni kuna nyumba za ovyo ikiwa nyingine ni nzuri ajabu mpaka huwezi amini kama ni mji mmoja.
Kinachokosekana Mb ni majengo makubwa ya taasisi za umma. Lakini wananchi ni wapambanaji sana.
Mbeya ndo sehemu iliyojengwa hovyo zaidi ikifuatiwa na Mwanza na Dsm
Saivi Arusha nayo inaelekea kule kule