Tutashtskiwa na kupelekwa miga tukanyolewe, tume za kuchunguza madini zimedanganya, wazungu hawawezi kuja , tra wamekurupuka na deni hata cnn wanashangaa, hata tukilipwa 500m wapo wajinga watashangiria.
My opinion: kwa kuwa hawashondwi la kuropoka na kudandia hoja nyengine na kuisahau iliopita, hawa watu ni wa kupuuzwa waache watu wafanye kazi.
My opinion: kwa kuwa hawashondwi la kuropoka na kudandia hoja nyengine na kuisahau iliopita, hawa watu ni wa kupuuzwa waache watu wafanye kazi.