Hongereni sana ndugu zetu wa jamii ya Wakurya kwa kuamua kuishi kwa Amani bila Vita baina yenu

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,702
Mungu ni mwema na sasa zile vita baina ya koo za Ndugu zetu zimekoma. Naambiwa hata matukio ya wizi wa ng'ombe yamepungua sana.

Naambiwa hata visa vya kupiga wenza wao pia vimepungua. Naambiwa hata visa vya watu kukatana mapanga vimepungua. Tuzidi kuwaombea waendelea kuishi kwa Amani kama vile Jamii nyingine Nchini Tanzania

Wazidi kupendana na kushirikiana huku wakivumiliana kwani wote ni ndugu. Shukrani kwa Ushauri uliotolewa na Wadau mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa hawa Ndugu zetu

Aksanteni Sana Wadau kwani hekima zenu zimezaa matunda
 
Mungu ni mwema na sasa zile vita baina ya koo za Ndugu zetu zimekoma kwa sasa

Tuzidi kuwaombea waendelea kuishi kwa Amani kama vile Jamii nyingine Nchini Tanzania

Wazidi kupendana na kushirikiana huku wakivumiliana kwani wote ni ndugu
Unaweza kukuta hiki ni Kidendereko mphirwa
 
Aisee Wakurya nimeisha na ila washikanji ni wababe hatari acha kabisa. Nawakubali sana kwa misimamo yao
 
Mungu ni mwema na sasa zile vita baina ya koo za Ndugu zetu zimekoma. Naambiwa hata matukio ya wizi wa ng'ombe yamepungua sana.

Naambiwa hata visa vya kupiga wenza wao pia vimepungua. Naambiwa hata visa vya watu kukatana mapanga vimepungua. Tuzidi kuwaombea waendelea kuishi kwa Amani kama vile Jamii nyingine Nchini Tanzania

Wazidi kupendana na kushirikiana huku wakivumiliana kwani wote ni ndugu. Shukrani kwa Ushauri uliotolewa na Wadau mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa hawa Ndugu zetu

Aksanteni Sana Wadau kwani hekima zenu zimezaa matunda
Mkuu, usiongee kwa sauti kubwa namna hii, hawa jamaa wana masikio ya hajabu sana na wakikusikia tu wataanza kurudia matukio yao ya jadi uliyotaja hapo juu kwani wataona unawakashifu kuwa wastaarab na si wakatili kama inavyotakiwa. Shauri yako kuchochea vita vya kindungu, utatafutwa na serikali.
 
Mungu ni mwema na sasa zile vita baina ya koo za Ndugu zetu zimekoma. Naambiwa hata matukio ya wizi wa ng'ombe yamepungua sana.

Naambiwa hata visa vya kupiga wenza wao pia vimepungua. Naambiwa hata visa vya watu kukatana mapanga vimepungua. Tuzidi kuwaombea waendelea kuishi kwa Amani kama vile Jamii nyingine Nchini Tanzania

Wazidi kupendana na kushirikiana huku wakivumiliana kwani wote ni ndugu. Shukrani kwa Ushauri uliotolewa na Wadau mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa hawa Ndugu zetu

Aksanteni Sana Wadau kwani hekima zenu zimezaa matunda
Hao watu ni hatari sana sio kuwasemea kirahisi rahisi hivyo, hawatabiriki
 
Back
Top Bottom