ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
asantre sana kumuwekasawa huyo mkuuWangoni hatutairi wanawake wala makabila ya kusini hayatairi wanawake ongea vitu unavyovijua sio uropokaji
asantre sana kumuwekasawa huyo mkuuWangoni hatutairi wanawake wala makabila ya kusini hayatairi wanawake ongea vitu unavyovijua sio uropokaji
Hao ndo wazuri hawawashwi ovyo km wenye navyoWengi wao wameondolewa kiharage
Asili ya msukuma ni upendo tena ule wa dhati kabisa! hatunaga zile mambo za kumkrimu mtu jujuu tu then akitoka nyuma unamng'ong'a!Mdau umeongea ukweli, yaani ukoo wangu wote kwa baba na mama hakuna aliyeoa au kuolewa na hayo makabila. Wote wana ndoa na wasukuma, wakerewe na wanyamwezi basi.
Fanya uchunguzi wa kina mkuu!Mmh sio kweli mnakwepa kuoa wachaga bhana.
Nilishawahi kukaa huko Songea, nilikuwa najionea zile sherehe za "kumtoa mwali" tafsili yangu ilinituma kuamini kuwa mambo haya huendana na matukio ya ukeketaji!Wangoni hatutairi wanawake wala makabila ya kusini hayatairi wanawake ongea vitu unavyovijua sio uropokaji
Eti nini????Asikwambie mtu machame ndo wenye hizo sifa sio waskuma
Natali ndeng'wikendeleja! emaga kule usizhunibipija ong'wise...Wandebha ghete ahenaho
Hata WanaumeWasukuma hawatahiriwi ndugu
nije nikuchumbie mamaa? Maana mimi sihitaji vigezo vingi kama wanaume wa mjini. Uwe na elimu au huna yote sawa tu, cha msingi uwe mvumilivu na ujali pia ndugu zangu.
Nimekutana na wa 3 wote wamekeketwa.
Kama BIKE???UWIIII WANAUME WA KISUKUMA KITANDANI NI OVYO KABISA, hawana hata muda wa kumuandaa mama kimahaba, yaani wao wanarukia tu, puuuuuuuuuuuuuuuuuu
bora hata hiyo bike utaiangalia kidogo matairi na vingine kabla ya kuidandia, hahahahahahahahKama BIKE???
Vp nyama imekukwama hiyo mijicho!ila habari ndo hiyo ukioa machame au mmeru utahisi uko peponiEti nini????
Mkuu inaelekea hunitakii maisha mema wala uhai hapa duniani.Vp nyama imekukwama hiyo mijicho!ila habari ndo hiyo ukioa machame au mmeru utahisi uko peponi
Kuanzia mke wa ndoa hadi nyumba ndogo wote watakuwa wasukuma. Kama Magufuli vile, yaani full suit.