commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Kuna wadau labda mmeshanga sana ni nini kimetokea katika majadiliano bungeni kuhusu sakata la escrow, hasa baada ya kufika kifungu cha 7 cha kumuwajibisha muhongo etc
hii gemu ilichorwa siku nyingi sana tangu j3 wiki hii (master plan mkuu alikuwa chenge, wengine waliotoa mawazo ya kufanikisha hili walikuwa pinda, wassira, makinda, na kinana)
serikali iliona hakuna jinsi inaweza kumnasua muhongo, maswi na waziri mkuu katika uzembe huu na watuhumiwa hawa waliahidiwa kulindwa kimkakati
zaidi ya yote serikali ilishapima upepo kwa nyakati hizi za uchaguzi wa serikali za mitaa, na uchaguzi mkuu ujao ikaona si vyema kuruhusu serikali kuanguka tena maana yale makundi ya uraisi yanazidi kuhasimiana, na pia ikaona itatoa image mbaya sana kwa jamii
sasa plan ikawa kama ifuatavyo
sasa bwana job ndugai intelejensia ya chama ilionyesha kuwa si mtu strong anayeweza kuliendesha bunge na kulikuwa na hisia kuwa huenda anapokea maelekezo kutoka kwa wabaya wa serikali hii, kwahiyo ishu mbili zikafanyika faster 1. Kumuondoa job ndugai katika kiti, na kupewa karipio kali sana kwa kuruhusu majadiliano haya
2. Plan b hii ilikuwa kali sana serikali ikafanya mawasiliano na iptl, na kuwaamuru wanasehria wake kupeleka zuio mahakamani la bunge kujadili ishu hii, na zaidi ya yote barua hiyo ilikuwa on the way na ilifika dodoma, ndipo serikali wakawa wanajaribu kupima kina cha maji, lakini pia mahakama tena ingizwa katika kulitega bunge kwa kuwatisha kuwa hawapaswi kujadili suala hilo kisa liko mahakamani wakati shauri lililopo mahakami ni suala la madeni/madai,
lakini lengo hasa lilikuwa ni kumtumia makinda leo atumie kete ya kuruhusu demokrasia na kutoingilia mamlaka zingine kisa tayari kashaingilia suala la mahakama, na alipangiwa zaidi kuonyesha kuwa anaruhusu democrasia ili kupesha kuikwanza serikali kuu eti kisa kashaikwaza mahakama kwa kuruhusu majadala huu kuendelea. Lakini suala hilo lilikuwa limepangwa kabisa kuwa ionekane kuna mtifuaano wa kimamlaka kati ya bunge na mahakama
sasa leo ndio maana mama makinda karuhusu sana watu wajadiliane kwa kupitia azimio moja badala ya lingine na kujifanya anaomba sapport ya wabunge hasa wa upinzani. Na lile lililotokea kwa chenge kupewa nafasi ya kutoa muongozo na kushauri anavyoona hayo maazimio yakaeje hasa yanayogusa watendaji walioteuliwa na raisi, plan hiyo ilikuwa imepangwa kupigiwa chapuo na wakina mama mawaziri, ilikuwa ni plan, sasa information zikaliki zikamfikia mbowe , na mbowe akawajulisha watu wote wa karibu yake kuwa hapa tayari kuna mtego. Maana kama kila jambo la mtu ambaye hawakumchagua wabunge kuwaachia mamlaka za uteuzi maaana yake ulikuwa huwezi baadae kufuatilia tena kudai why fulani hakuwajibishwa.
Na ndio maana kila wakati spika alijifanya, kuwa ohh nataka jinsi ya kuweka hapa form ikaaje ili kuzuia kuingilia mamlaka zingine, eti kisa tayari anakesi kwa kuingilia mahakama, lakini plan hapa ilikuwa ni kumukoa muhongo, na waziri mkuu, maana huteuliwa na rais mbali ya kwamba waziri mkuu huthibitishwa na bunge, lakini kwa hari ilivyokuwa tangu juzi katika vikao vya ccm, tayari watu walishaadaliwa kumtetea mno waziri mkuu, maana serikali ilikuwa inaenda kuanguka, hasa ni visa vya madaraka vya wasaka urais. Chuki binafsi baina ya wabunge wa kamati ya pc toka ccm na wale wasio wajumbe. So mbowe alipenyezewa mchongo huu mwishoni kabisa, na kuamua kufanya aliyofanya.
Lakini plan ilikuwa ni kila mtu ambaye hakuchaguliwa na bunge basi bunge lishauri tu akawajibishwe na mamlaka za uteuzi baada ya uchunguzi, na suala hilo lingefika hadi mwakani bunge linavunjwa wakina muhongo, maswi, na pinda wangekuwa madarakani wakati woote huo;
sasa tayari kuna ugomvi mkubwa unaendelea kati ya wale wajumbe 19 wa pac walikuwa ni wa ccm, wanalaumiwa sana na ccm wenzao kwa kuandika yale mapendekezo na kumshambulia muhongo, na baadhi yao wameanza kutishiwa;
kwa jinsi hili suala la uchotwaji wa pesa hizi za escrow lilivyo mamlaka ya juu kabisa inalijua, na wamefaidika kabisa na mgao huu, ni mission nyeti sana ya serikali kupata pesa hizi kupitia kwa singa singa ili kutumika mwakani wa kati w chaguzi na kampeni;
kwa jinsi hali ilivyokuwa imepangwa hakuna cha kuwalaumu watu wa vyama pinzani, na pac yoote, ccm walidhani hii mission yao isingeliki; maana wakina ngeleja, au kagasheki waliwajibika kwa uzembe wa watu wengine na, si wao tu direct walienda kutenda makosa yale sasa iweje hawa wakina muhongo wakafikiriwe tena na rais, eti kisa tu wamegoma kujiudhuru.
Hongereni wabunge woote mlioamua kuangalia maslahi ya taifa.
hii gemu ilichorwa siku nyingi sana tangu j3 wiki hii (master plan mkuu alikuwa chenge, wengine waliotoa mawazo ya kufanikisha hili walikuwa pinda, wassira, makinda, na kinana)
serikali iliona hakuna jinsi inaweza kumnasua muhongo, maswi na waziri mkuu katika uzembe huu na watuhumiwa hawa waliahidiwa kulindwa kimkakati
zaidi ya yote serikali ilishapima upepo kwa nyakati hizi za uchaguzi wa serikali za mitaa, na uchaguzi mkuu ujao ikaona si vyema kuruhusu serikali kuanguka tena maana yale makundi ya uraisi yanazidi kuhasimiana, na pia ikaona itatoa image mbaya sana kwa jamii
sasa plan ikawa kama ifuatavyo
sasa bwana job ndugai intelejensia ya chama ilionyesha kuwa si mtu strong anayeweza kuliendesha bunge na kulikuwa na hisia kuwa huenda anapokea maelekezo kutoka kwa wabaya wa serikali hii, kwahiyo ishu mbili zikafanyika faster 1. Kumuondoa job ndugai katika kiti, na kupewa karipio kali sana kwa kuruhusu majadiliano haya
2. Plan b hii ilikuwa kali sana serikali ikafanya mawasiliano na iptl, na kuwaamuru wanasehria wake kupeleka zuio mahakamani la bunge kujadili ishu hii, na zaidi ya yote barua hiyo ilikuwa on the way na ilifika dodoma, ndipo serikali wakawa wanajaribu kupima kina cha maji, lakini pia mahakama tena ingizwa katika kulitega bunge kwa kuwatisha kuwa hawapaswi kujadili suala hilo kisa liko mahakamani wakati shauri lililopo mahakami ni suala la madeni/madai,
lakini lengo hasa lilikuwa ni kumtumia makinda leo atumie kete ya kuruhusu demokrasia na kutoingilia mamlaka zingine kisa tayari kashaingilia suala la mahakama, na alipangiwa zaidi kuonyesha kuwa anaruhusu democrasia ili kupesha kuikwanza serikali kuu eti kisa kashaikwaza mahakama kwa kuruhusu majadala huu kuendelea. Lakini suala hilo lilikuwa limepangwa kabisa kuwa ionekane kuna mtifuaano wa kimamlaka kati ya bunge na mahakama
sasa leo ndio maana mama makinda karuhusu sana watu wajadiliane kwa kupitia azimio moja badala ya lingine na kujifanya anaomba sapport ya wabunge hasa wa upinzani. Na lile lililotokea kwa chenge kupewa nafasi ya kutoa muongozo na kushauri anavyoona hayo maazimio yakaeje hasa yanayogusa watendaji walioteuliwa na raisi, plan hiyo ilikuwa imepangwa kupigiwa chapuo na wakina mama mawaziri, ilikuwa ni plan, sasa information zikaliki zikamfikia mbowe , na mbowe akawajulisha watu wote wa karibu yake kuwa hapa tayari kuna mtego. Maana kama kila jambo la mtu ambaye hawakumchagua wabunge kuwaachia mamlaka za uteuzi maaana yake ulikuwa huwezi baadae kufuatilia tena kudai why fulani hakuwajibishwa.
Na ndio maana kila wakati spika alijifanya, kuwa ohh nataka jinsi ya kuweka hapa form ikaaje ili kuzuia kuingilia mamlaka zingine, eti kisa tayari anakesi kwa kuingilia mahakama, lakini plan hapa ilikuwa ni kumukoa muhongo, na waziri mkuu, maana huteuliwa na rais mbali ya kwamba waziri mkuu huthibitishwa na bunge, lakini kwa hari ilivyokuwa tangu juzi katika vikao vya ccm, tayari watu walishaadaliwa kumtetea mno waziri mkuu, maana serikali ilikuwa inaenda kuanguka, hasa ni visa vya madaraka vya wasaka urais. Chuki binafsi baina ya wabunge wa kamati ya pc toka ccm na wale wasio wajumbe. So mbowe alipenyezewa mchongo huu mwishoni kabisa, na kuamua kufanya aliyofanya.
Lakini plan ilikuwa ni kila mtu ambaye hakuchaguliwa na bunge basi bunge lishauri tu akawajibishwe na mamlaka za uteuzi baada ya uchunguzi, na suala hilo lingefika hadi mwakani bunge linavunjwa wakina muhongo, maswi, na pinda wangekuwa madarakani wakati woote huo;
sasa tayari kuna ugomvi mkubwa unaendelea kati ya wale wajumbe 19 wa pac walikuwa ni wa ccm, wanalaumiwa sana na ccm wenzao kwa kuandika yale mapendekezo na kumshambulia muhongo, na baadhi yao wameanza kutishiwa;
kwa jinsi hili suala la uchotwaji wa pesa hizi za escrow lilivyo mamlaka ya juu kabisa inalijua, na wamefaidika kabisa na mgao huu, ni mission nyeti sana ya serikali kupata pesa hizi kupitia kwa singa singa ili kutumika mwakani wa kati w chaguzi na kampeni;
kwa jinsi hali ilivyokuwa imepangwa hakuna cha kuwalaumu watu wa vyama pinzani, na pac yoote, ccm walidhani hii mission yao isingeliki; maana wakina ngeleja, au kagasheki waliwajibika kwa uzembe wa watu wengine na, si wao tu direct walienda kutenda makosa yale sasa iweje hawa wakina muhongo wakafikiriwe tena na rais, eti kisa tu wamegoma kujiudhuru.
Hongereni wabunge woote mlioamua kuangalia maslahi ya taifa.